Mbunge Tarimba Abbas (CCM) je, wana Kinondoni tulikutuma Bungeni kuzungumza matatizo yetu au kuizungumzia Yanga SC yako tu?

Absolutely Rubbish....!!!!
 
Wewe ni ANCHOR humu ndani unaheshimika, You need to provide leadership and decipline, never punch below the belt in your comments.
 
Wewe ni ANCHOR humu ndani unaheshimika, You need to provide leadership and decipline, never punch below the belt in your comments.
Hili neno lako uliloliandika hapa la ' decipline ' Waingereza ( Britons ) wenye hiyo Lugha yao na ' Wordsmiths ' wanaopatikana hapa JamiiForums wanalijua au wamelielewa?
 
Tarimba Abbas ' Kanikera ' sana Mkuu.
Lakini mkuu ume react sana naona
Ijapokuwa kawagusa simba lakini Main point yake kubwa ilikuwa ni TFF na karia na wala sio simba, Simba ilijikuta ikichomekwa tu. Kutokana na uozo wa TFF...
Simba punguzeni presha mkuu
 
Lakini mkuu ume react sana naona
Ijapokuwa kawagusa simba lakini Main point yake kubwa ilikuwa ni TFF na karia na wala sio simba, Simba ilijikuta ikichomekwa tu. Kutokana na uozo wa TFF...
Simba punguzeni presha mkuu
Si kweli Mkuu ameilenga zaidi Simba SC.
 
Karia na Malinzi ni maraisi wa hovyo kuwahi kutokea TFF nitashangaa akirudi tena huyo tumbo tumbo
Malinzi alitamka mbele ya Aden Rage kuwa Simba SC isahau ' Ubingwa ' Yeye akiwa Rais wa TFF hivyo nakuomba uniambie ni lini na wapi Rais ' Mweledi ' wa TFF Wallace Karia alitamka ( ametamka ) kuwa katika Uongozi ( Utawala ) wake Yanga SC iusahau ' Ubingwa ' wa VPL?
 
Kwahiyo kwenye kuchangia hoja za wizara ya michezo mlitaka achangie mambo ya wizi wa mitandao, au ukosefu wa maji?? Hii ni hatari kwa taifa hakika maana sioni kosa la Tarimba. Karia na tff yake aache double standard it's over.
 
Wana Kinondoni wamemtuma haya au?
Unaumwa si bure! Hivi unaona timu kuleta mamluki na kuwapa mishahara minono ni haki kwenye soka la kitanzania? Wake up! Ni lazima tufikie pahala tuwe kama Brazil na Argentina - sender countries siyo receiver ili tujenge Timu ya Taifa
 
Hapa siongelei habari za Simba na Yanga naongelea TFF kama taasisi Karia ni rais wa hovyo sana league haieleweki mechi zina ahilishwa bila sababu za msingi daraja la kwanza ndio hovyo kila mwaka mambo ni yale yale tu
 
Alichosema Tarimba Jana kimenifanya strongly nims support Hajji Manara aliposema ukishakuwa mshabiki wa Yanga regardless ya status ya huyo mtu hana tofauti na mshabiki wa Yanga asiyesoma akili zao wanazikabidhi sijui wapi isipokuwa watu wawili alisema Mzee kikwete na Baba yake nadhan tunajua kwa nyakati tofauti hawa walionyesha utofauti huo
Haiwezekani kuzungumza nadharia za kijiweni bungeni
Suala la kahairishwa mechi waziri ambaye ni yanga mwenzake alisema ss kusemea uchawi ndio sbb ni aibu gani na wale mashabiki wao wataona hili ni kweli
Suala la kufungiwa ni TFF walipitisha kanuni ni vilabu vyenyewe ss kosa kwa TFF kusimamia mbona wao Bunge wanatunga Sheria mbn hatuwalaumu ikifika mahakama kuzitekeleza
Suala la wachezaji wa kigeni naona hapo amegema Simba na yanga tu huku akisahau dunia nzima huwa inatokea afanye round study duniani huko walikoendelea na wanafanya Hadi scouting lkn bado wanachemka iwe hapa
Suala la mkono wa karia ni Jambo la aibu kwa mbunge kuliibua huku ukiliona tu unaona hamna issue Hadi minziro mwenyewe amesema wasimgombanishe na karia
Tunasafari kubwa sn na haea

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Ww mganga njaa na mshinda mitandaoni ,achana na mbunge wetu tajili aongee anachotaka.
 
Mkuu umehitimisha vema,wabunge wote hawa waliteuliwa na mwendazake ,hawakupata kura halali za kiuchaguzi
 
Kwanza kabisa umekosa busara katika maandishi yako. Umetumia lugha kali isiyo na staha. Ungeweza kuwasilisha hoja vizuri tu bila matusi.

Pili, wewe umejadili hoja kishabiki na chuki kubwa. Mpira ni sekta inagusa hisia na maisha ya vijana wengi bila kujali wa Simba au Yanga na pia mapato ya serikali. Tarimba kazungumzia afya ya mpira wetu ni mbaya. Mpira wetu ni kama 'toto lililodumaa!'

Tena katoa mifano hai. Mfano kuahirisha pambano kubwa la Simba na Yanga kirahisi vile, labda wewe ndugu hukuona madhara. Katoa mfano mwengine, watu hawasalimiani kitu ambacho ni very primitive. Hamuwezi kujenga soka halafu mna nongwa na kununiana kama wake wenza.

Ushauri: Punguza jazba. Msikilize Tarimba ukiwa na utulivu wa nafsi. Halafu mambo ya uchaguzi ndani ya CCM una taratibu zake za vikao. Siyo mtu na kundi lake eti kutishia fulani harudi! CCM haiku hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…