Mbunge Tarimba atoa ya moyoni kuhusu Dabi ya Kariakoo, awataka marefa kutenda Haki

Mbunge Tarimba atoa ya moyoni kuhusu Dabi ya Kariakoo, awataka marefa kutenda Haki

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC.

Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema waache uwezo uamue matokeo sahihi na sio kutoa penati au kadi nyekundu za uwongo.

 
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dadi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC.

Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema waache uwezo uamue matokeo sahihi na sio kutoa penati au kadi nyekundu za uwongo.

huyo Dadi wa kariakoo ni nani
 
Kasema ukweli. Ushindi kwa mgongo wa penati na kadi nyekundu za mchongo, siyo poa hata kidogo.
 
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC.

Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema waache uwezo uamue matokeo sahihi na sio kutoa penati au kadi nyekundu za uwongo.

Umbwa huyu. Anajua mechi iliyopita yule mimacho angetenda haki wasingeshinda. Wanajua moto wa kibu na sasa ameongezeka Mpanzu.
 
Kasema ukweli. Ushindi kwa mgongo wa penati na kadi nyekundu za mchongo, siyo poa hata kidogo.
Nyie mnaogopa nini? Mnajua kabisa mechi iliyopita yule choko Kayoko angefuata sheria 17 za mpira wa miguu. Mngekufa.
 
Bila kayoko yanga atoboi,
Fadlu Davis hawezi kupiteza hii game.
Simba inashinda 2_1
 
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC.

Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema waache uwezo uamue matokeo sahihi na sio kutoa penati au kadi nyekundu za uwongo.

Uwezo na sheria za mpira viamue.
Kuna watu washenzi sana kule nyuma mwiko wanatumia nguvu kupita kiasi hata kama ni kwenye penalty box halafu wanalia lia eti penalty zisiwepo.
Ingekuwa hivyo kila timu ina uwezo wa kuangusha mtu kwenye box anayeweza kuleta madhara.
Na ni kawaida waamuzi kumeza filimbi mchezaji wa yanga akicheza faulo ya kuzuia kufungwa,machawa wao utawasikia wakisema hiyo ni 50/50.
Ila wao mchezaji akiguswa kidogo tu,inakuwa penalty.
Wana penalty nyingi ila ni kawaida sana nyani huwa haoni kundu lake
 
Back
Top Bottom