LGE2024 Mbunge Ulanga: Viongozi wa dini wadumishe amani na utulivu kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu unapita salama

LGE2024 Mbunge Ulanga: Viongozi wa dini wadumishe amani na utulivu kuhakikisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu unapita salama

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Mbunge wa jimbo la Ulanga mkoani Morogoro, Salim Alaudin Hasham wakati akishiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Roma Kwiro wilayani Ulanga amesema viongozi wa dini wanatakiwa kudumisha amani na utulivu kuhakikisha chaguzi zote mbili; Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 pamoja na Uchaguzi Mkuu 2025 zinapita salama.

Akisema kuna nchi nyingine watu wenye uwezo hukimbia nchi zao katika vipindi vya uchaguzi na kurejea baada ya uchaguzi kuisha, akisema Tanzania haijafika hatua hiyo na ana imani haitafika huko kwakuwa kwasababu viongozi wa dini pamoja na serikali wanafanya juhudi zote kuhakikisha amani na upendo unadumishwa nchini.


Jambo TV
 
Alitakiwa aseme ccm wawache wizi na kufanya uchaguzi wa haki, dini zinataka mwizi apewe adhabu ya wizi wake.
 
Back
Top Bottom