Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
sijui sura yake ataiweka wapi huyu dada jaman
 
This goes to vicky, pole sana kuna mambo ambayo money can not buy, while mambo yote uliyokuwa unafanya yilikuwa fun, now reality comes in- majuto ni mjukuu!!!!

Kuna watu mna akili sn humu,hongereni kwa kusema ukweli Wa maisha
 
Kanisa katoliki halina Wachungaji lina Mapadre na Maaskofu, ndo alichotaka urekebishe

Cha muhimu ujumbe uliokusudiwa umefika kwa hadhira iliyokusudiwa, ahsante kwa marekebisho
 
Heaven on Earth siku izi umehama hili jukwaa au u bize mama angu, namis sana mawazo yako na comment zako za hekima
 
Last edited by a moderator:
Stanley Mitchell nadhani ndio tamaduni yetu tuliyojiwekea sisi wa africa ,kwamba mtu akitaka kuoa/Kuolewa lazima achangiwe, sio anachangiwa ili afanikishe shughuli hyo pekee, la hasha ,bali na wachangiaji pia wapate walau robo ya mchango walioutoa nikimaanisha msosi na vinywaji mbali mbali pamoja na ukumbi ndo maana hao waliochangia wanaona kama wamedhulumiwa kwani walitegemea fadhira in return, hawakuchangia kutoka moyoni, sasa badala ya kumuonea huruma mwenzao wao wanadai pesa, hii kitu sio kabisa

Kingine mimi naona mtu mwenye pesa zake kama vicky kamata hakupaswa kusumbua watu kwa michango, waache hizi tamaduni za kizamani,yaani kuolewa/kuoa uoe wewe shda uwape wengine, kama mtu huna uwezo arrange a small and affordable party watu wale wanywe inatosha, hii kitu kwangu haijakaa poa sana.
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana nakupenda binamu!loh huyu mdada sijui atajifichia wapi jamani na arudishe michango yetu
 
Kama jamaa amemtapeli na kuingia mitini Vicky atamkamata tu.
 
Vicky anaumwa tumbo mimi nimeongea nae jana...Acheni umbeya jamani,ndoa imesogezwa mbele na itafungwa tu acheni uswahili.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…