Mbunge Viti Maalum CHADEMA Ammwagia Sifa Rais Samia Bungeni

Mbunge Viti Maalum CHADEMA Ammwagia Sifa Rais Samia Bungeni

Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Matiko amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza miradi mbalimbali ya maendeleo aliyoikuta pamoja na kuanzisha miradi mipya huku akipendekeza maslahi ya askari magereza yaboreshwe.

Hayo ameyasema leo Alhamis Juni 22, 2023 wakati akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma.

Matiko amesema kasi ya upelekaji fedha kwenye miradi hiyo ya kimkakati ikiwemo kwenye sekta ya nishati, afya, elimu, maji na miundombinu inashawishi wananchi kulipa kodi.

Matiko pia amelilia maslahi kwa askari magereza akipendekeza yaboreshe kama ilivyo kwa askari wa vikosi vingine vya hapa nchini ikiwemo mishahara na upandishaji wa vyeo.

Unapongeza Rais Kwa kukupa haki yako? Only in a Banana Republic

Hiyo ni haki yako
 
Jukwaa lingependa lipewe ufafanuzi wa kisheria na uhalali wa kuwaita wabunge wa CDM!! Refer kauli ya Jesca kishoa bungeni alisema wazi mbele ya bunge kua wao washafukuzwa uanachama!! Unfortunately mtetezi wao kwa maslahi anayoyajua yeye alimbwatukia kishoa atengue kauli yake ya kufukuzwa uanachama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nchi ya hovyo hii!!!
Unless, Bunge na Mahakama vitupe utaratibu mwingine lakini kwa sasa kinachowaweka Bungeni ni tiketi ya CHADEMA, wewe msimamo wako hauwezi kukinzana na taratibu za nchi, ni Common sense tu
 
Unless, Bunge na Mahakama vitupe utaratibu mwingine lakini kwa sasa kinachowaweka Bungeni ni tiketi ya CHADEMA, wewe msimamo wako hauwezi kukinzana na taratibu za nchi, ni Common sense tu
Taratibu za Nchi ni uvunjaji wa sheria? Nadhan wew ndie una deserve to use a common sense!!! Kama wahusika wenyew walitamka ndani ya bunge kua wamefukuzwa chaman, imagine wasio wana CDM hawataki kukubali 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Taratibu za Nchi ni uvunjaji wa sheria? Nadhan wew ndie una deserve to use a common sense!!! Kama wahusika wenyew walitamka ndani ya bunge kua wamefukuzwa chaman, imagine wasio wana CDM hawataki kukubali 🤣🤣🤣🤣🤣
Tatizo umekaza fuvu, yaani wewe unadhani kwa kuwa wewe unaamini kuwa sheria imevunjwa basi ni sahihi, then una shida mahali, Mahakama ikitoa majibu tofauti tutayafuata, mengineyo unachangamsha genge hivi
 
Mbona wanachukua ruzuku kwa Hawa hawa wabunge?
ccm imefuga majinga na hayataki kwenda kusoma hata jambo dogo kuhudu ruzuku hayajui inalipwaje yani majinga kama wewe mnafikir hao malaya wa magufuli na ndugai wakitoka bungeni ruzuku haitatolewa kifupi elimu elimu elimu.
 
Aibu yenu nyie NYUMBU ...mnaosema hili na kesho mnabadili maneno
Nyie nguruwe na makuwadi ya dpworld ni mapumbavu hata akili hamna ndio maana mnasain mikataba ya kipumbavu kwasababu ya upumbavu mliojaza kichwani.
 
Tatizo umekaza fuvu, yaani wewe unadhani kwa kuwa wewe unaamini kuwa sheria imevunjwa basi ni sahihi, then una shida mahali, Mahakama ikitoa majibu tofauti tutayafuata, mengineyo unachangamsha genge hivi
makuwadi ya dpworld.
 
Nyie nguruwe na makuwadi ya dpworld ni mapumbavu hata akili hamna ndio maana mnasain mikataba ya kipumbavu kwasababu ya upumbavu mliojaza kichwani.
Dp world imepitishwa na bunge na soon wanaanza kazi...
Unaumia ukiwa wapi?
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Matiko amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza miradi mbalimbali ya maendeleo aliyoikuta pamoja na kuanzisha miradi mipya huku akipendekeza maslahi ya askari magereza yaboreshwe.

Hayo ameyasema leo Alhamis Juni 22, 2023 wakati akichangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma.

Matiko amesema kasi ya upelekaji fedha kwenye miradi hiyo ya kimkakati ikiwemo kwenye sekta ya nishati, afya, elimu, maji na miundombinu inashawishi wananchi kulipa kodi.

Matiko pia amelilia maslahi kwa askari magereza akipendekeza yaboreshe kama ilivyo kwa askari wa vikosi vingine vya hapa nchini ikiwemo mishahara na upandishaji wa vyeo.

Acha umbea. Unajua CHADEMA Haina mbunge viti maalum wewe unaleta ujinga.
 
Back
Top Bottom