Mbunge wa Arumeru, Dr. Pallangyo umetukosea sana Watanzania. Endelea Kuringa yana mwisho

Mbunge wa Arumeru, Dr. Pallangyo umetukosea sana Watanzania. Endelea Kuringa yana mwisho

Wameshaleweshwa na madaraka tayari.

Jeuri na dharau ndiyo zimewajaa maana wanajua hakuna wa kuwakemea kwani ndani ya serekali kila mtu anapigania tumbo lake.
Wanashindwa kujua kuwa yanayotokea na wasababishaji huwekwa kwenye kumbukumbu daima. Watoto wao wakizitaka hizo nafasi baadae, wananchi wataangalia historia ya wazazi wao kisiasa na kijamii.
 
Wanashindwa kujua kuwa yanayotokea na wasababishaji huwekwa kwenye kumbukumbu daima. Watoto wao wakizitaka hizo nafasi baadae, wananchi wataangalia historia ya wazazi wao kisiasa na kijamii.
Washalewa tayari wanaamini kuwa vyeo hivyo ni haki zao
 
Huyu Mbunge hamna alichofanya Arumeru mashariki, nilikuwa huko Majuzi,
 
Back
Top Bottom