Elections 2010 Mbunge wa Arusha apigwa hadi kuzirai na jeshi la polisi

Elections 2010 Mbunge wa Arusha apigwa hadi kuzirai na jeshi la polisi

Crashwise,
Umekuja na maneno mengi matamu ila yenye utata pia.
Ili kuondoa utata huo tunaomba utuwekee huo mchanganuo ulioongeza madiwani wa ccm na aliyetangaza ni nani.

Hii ni kw alengo zuri, tunataka Jf liwe jamvi lenye discussions zenye vielelezo. Udaku na mengoneyo ya aina hiyo tunawachia Shigongo na globalpublishers

Maelezo yako haya hayabadilishi udaku wa maelezo uliyotoa mwanzo.

Lete full information na vielelezo. Hiyo TUME ya CCM inayoongeza DIWANI kwa kigezo kipo na kwa ruhusa ipi? Sisi tunajua anayetangaza hilo ni TUME ISIYO HURU YA NYALALI...lakini hata katika kutetea madudu, ANATANGAZA HADHARANI madudu hayo!

Lete vielelezo
 
Uchaguzi jana haukufanyika baada ya Mary Chitanda mbunge wakuteuliwa kutoka Tanga kupitia CCM kuongezwa wakidai amehamishiwa Arusha kitendo hicho hakikubaliwa na CDM kwani Mary Chitanda aliteuliwa mbunge wa kuteuliwa mkoani Tanga na si Arusha kabla ya hapo walisha muongeza Namelo Sokoine kwa ujanja ujanja kama wangekubali CDM kimahesabu yangekuwa hivi: CCM = 16, CDM =14 na TLP =1
 
Uchaguzi jana haukufanyika baada ya Mary Chitanda mbunge wakuteuliwa kutoka Tanga kupitia CCM kuongezwa wakidai amehamishiwa Arusha kitendo hicho hakikubaliwa na CDM kwani Mary Chitanda aliteuliwa mbunge wa kuteuliwa mkoani Tanga na si Arusha kabla ya hapo walisha muongeza Namelo Sokoine kwa ujanja ujanja kama wangekubali CDM kimahesabu yangekuwa hivi: CCM = 16, CDM =14 na TLP =1

Huoni kuwa bado CCM yaweza kuibuka kideda kama huyo mwingine.............Namelo Sokoine kuongezwa kiujanjaujanja....yamaanisha CCM ni 15 na Chadema plus TLP ni 15.................Au CCM uwepo mgawanyiko na hivyo kuwaruhusu Chadema kushinda?
 
Uchaguzi jana haukufanyika baada ya Mary Chitanda mbunge wakuteuliwa kutoka Tanga kupitia CCM kuongezwa wakidai amehamishiwa Arusha kitendo hicho hakikubaliwa na CDM kwani Mary Chitanda aliteuliwa mbunge wa kuteuliwa mkoani Tanga na si Arusha kabla ya hapo walisha muongeza Namelo Sokoine kwa ujanja ujanja kama wangekubali CDM kimahesabu yangekuwa hivi: CCM = 16, CDM =14 na TLP =1

Hii yote ni CCM kutaka kuwa madarakani au?? Wanatakiwa kujua kuwa nguvu ya UMMA hakuwataka kurudi madarakani sasa wanapo gombania UMEYA na warudi kutawala majimbo hayo kunani nyuma ya dirisha la UMEYA?? wajua KATIBA ikibadilika itawashitaki vibaya na kuwaweka ndani kwani walisha pindisha sheria na sasa moto wao uko njiani maana huko kwa UMEYA huwa kuna Aridhi,Barabara ndio zinazo wapa pesa sasa wamejisaha kuwa wana Mawaziri walio makini Tibaijuka na Maghufuli sasa sijui watatokea wapi. maana fund zikiingia zote huishia mikononi mwa wajanja sasa hiki kipindi ni kigumu sana kwao, Wananchi wako macho sana kujua ni nini kinachoendelea na wanataka kuyaona maendeleo yao na sio bla bla na CCM wanajua kuwa UMEYA wa majimboni ukishikwa na CDM basi majimbo hayo hayato rudi tena CCM kwani CDM wataoshea hapo hapo na wananchi ndio watakao warudisha madarakani

 
Ndugu zangu,

sasa nchi yetu imefikia pabaya,tumekuwa tukijadili kuwa uchaguzi uliopita haukuwa halali hatakidogo.Jana katika wilaya kadhaa kumekuwa na uchaguzi wa meya ikiwamo halimashahuri za mwanza,Arusha,kilimanjaro,msoma.ukerewe na hai.

cha kushangaza halmashahuri zote zinazochukuliwa na chadema zimepata shida sana ikiwamo kupigwa na kuumizwa vibaya.

Katika mkoa wa Arusha jana waliahirisha na leo viongozi wale wa mji wa Arusha wameamkia katika ukumbi na kukuta CCm wameamka saa kumi usiku na kupiga kura bila kuwaharifu madiwani wa chadema.ndugu zangu hii si halali,ninapoongea sasa Mbunge lema amepigwa na polisi mpaka kupoteza fahamu na bila hata haibu wamemfungia chumbani.

IGP na viongozi wa juu wa polisi wapo Arusha na baada ya kupata taarifa hizi wameacha kupokea simu.

Jamani mimi nafikiri mwisho wa kuionea au kuibembeleza CCM umefika hapa hakuna Democrasia.sheria inasema any election should be free and fair.

NA POLISI HAWARUHUSIWI KUINGIA NDANI YA KIKAO CHA COUNCIL KWANI NI KIKAO KAMA CHA BUNGE.

inasikitiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisha sana na moyo wangu unamajonzi.
 
Lema amepigwa sana na yuko rokapu..ccm wamefanya uchaguzi wa kumteua meya wao..
 
what the .....?!


Lema fungulia mashtaka polisi waliokupiga, tumechoshwa na jeuri ya CCM kuwa ina dola.
 
nchi inaongozwa na mtu mwizi unategemea nini ?
 
siku zote nimekuwa nasema nchi hii ni bora iingie vitani tu ndo heshima itakuwepo haya wanayoyafanya ccm na serikali yao ni ushenzi wa hali ya juu sana...
 
what the .....?!


Lema fungulia mashtaka polisi waliokupiga, tumechoshwa na jeuri ya CCM kuwa ina dola.

Awafungulie mashitaka kwenye mahakama ipi ambayo unategemea itatenda haki? Wakati kila mahali wameshika wao na hawataki kuachia hata umeya.

Lakini sisi ni wabinafsi na waoga wakubwa tunajihurumia hatuwezi kudai haki zetu barabarani kitu ambacho watoto wetu watakuja kutemea mate makaburi yetu na kutulaani kwa kutokuwa wajasiri.

TUAMKENI JAMANI HAYA MAMBO YA KIZAMANI SANA
 
Jamani mi nashangazwa na uoga wa CCM, urais wamejibambika tena kwa ngumi na mateke sehem nyingine ubunge pia wamelazimisha, umea pia? hawaoni aibu meeeeen we are tired of it.
 
what???????????????????/unaakili timamu wewe unajua ujuaji ni wa nini,,,,,,,,,,,,,,,,,waambie ndugu zako wote sasa tutapambana.
Unaona sasa...! Hata wewe u mwathirika wa ujuaji...
 
RPC mpya ameanza kazi aliyotumwa?nchi ya amani jamani tanzania!damu ikimwagika hakuna shida ili mradi isiwe kwa kada wa ccm!
 
Ndugu zangu,

sasa nchi yetu imefikia pabaya,tumekuwa tukijadili kuwa uchaguzi uliopita haukuwa halali hatakidogo.Jana katika wilaya kadhaa kumekuwa na uchaguzi wa meya ikiwamo halimashahuri za mwanza,Arusha,kilimanjaro,msoma.ukerewe na hai.

cha kushangaza halmashahuri zote zinazochukuliwa na chadema zimepata shida sana ikiwamo kupigwa na kuumizwa vibaya.

Katika mkoa wa Arusha jana waliahirisha na leo viongozi wale wa mji wa Arusha wameamkia katika ukumbi na kukuta CCm wameamka saa kumi usiku na kupiga kura bila kuwaharifu madiwani wa chadema.ndugu zangu hii si halali,ninapoongea sasa Mbunge lema amepigwa na polisi mpaka kupoteza fahamu na bila hata haibu wamemfungia chumbani.

IGP na viongozi wa juu wa polisi wapo Arusha na baada ya kupata taarifa hizi wameacha kupokea simu.

Jamani mimi nafikiri mwisho wa kuionea au kuibembeleza CCM umefika hapa hakuna Democrasia.sheria inasema any election should be free and fair.

NA POLISI HAWARUHUSIWI KUINGIA NDANI YA KIKAO CHA COUNCIL KWANI NI KIKAO KAMA CHA BUNGE.

inasikitiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisha sana na moyo wangu unamajonzi.
Ni upumbavu gani huu unafanywa na CCM?
nI SHERIA GANI INAYOwaruhusu kufanya uchaguzi muda ambao haukubaliki kama huo(saa 10usiku?)
Nampa pole sana Lema, japokuwa hujaeleza alipigiwa nini..je alitukana au kuanza kumpiga mtu?
LETE DETAILS ZA KUTOSHA BRODA!
 
Where are Chadema inabidi uongozi wote uzigawane hizi sehemu tatu........ You know sometimes people mistake ustaarabu with being coward.... this CCM now are getting in my nerves
 
Back
Top Bottom