Elections 2010 Mbunge wa Arusha apigwa hadi kuzirai na jeshi la polisi

Elections 2010 Mbunge wa Arusha apigwa hadi kuzirai na jeshi la polisi

naomba Mungu amsimamie Lema apone kuanguka tena na kuzirai ni hatari inawezekana kuna damu zinavujia ndani,Ole wao CCM kama lema atakufa CCm wajue Arusha haitakalika tutaanza kwanza na mahakama ya Kimbari,Police ,AICC,Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa mkoa,wa wilaya,benki kuu na vitega uchumi vya watu wote wenye mahusiano na wana CCm tukitoka Arusha tutakwenda Mwanza na Mbeya ndipo watakapojua hakuna aliye juu ya wananchi
 
naomba mungu amsimamie lema apone kuanguka tena na kuzirai ni hatari inawezekana kuna damu zinavujia ndani,ole wao ccm kama lema atakufa ccm wajue arusha haitakalika tutaanza kwanza na mahakama ya kimbari,police ,aicc,ofisi za mkurugenzi mkuu wa mkoa,wa wilaya,benki kuu na vitega uchumi vya watu wote wenye mahusiano na wana ccm tukitoka arusha tutakwenda mwanza na mbeya ndipo watakapojua hakuna aliye juu ya wananchi


tumuombee apone na ajifunze kufata utaratibu

hivyo vitisho na ujuaji ndio vinavyokugharimuni gharama nzito na nyny wachochezi waongo hamna lolote kazi zogo tu

mnakaanga mbuyu mnawaachia wenye meno kutafuna
 
Ni budi Watanzania tuwaambie polisi kuwa imetosha, hawawezi kuendelea kutumika na CCM kama chombo cha kugandamiza Raia. Vyama vya Siasa, wanaharakati, wasomi, na wananchi wote wenye mapenzi mema, kwa vitendo kama hivi tutoe kauli kuwa adui mkubwa wa haki ya Mtanzania ni CCM na polisi. Kila mahali watu watakapoiona CCM na polisi na viashiria vyake wajue wamemwona adui yao. Hata bila ya kufanya chochote, bila ya kufanya vurugu, hiyo itaosha. Hatuwezi kuwazuia kufanya uovu lakini hawawezi kutulazimisha kuwapa ushirikiano wa aina yeyote.

Kama serikali haiwezi kuchukua hatua dhidi ya polisi hao, na tuna uhakika kuwa mfumo wetu wa mahakama hauwezi kutenda haki, basi matukio haya na yanayofanana nayo yaanze kuchukuliwa ushahidi wa kutosha, na mashtaka yafunguliwe kwenye mahakama ya kimataifa dhidi ya Rais kwa kutumia vibaya vyombo vya dola na kushindwa kulinda haki ya Raia wote kwa haki.


Jana tulionya kuhusu watu madiwani wa CHADEMA kutokujihusisha na kitendo chochote kitakachoruhusu uchaguzi ufanyike bila wao kuwepo. Uchaguzi sasa umefanyika na CCM wamechukua Halmashauri na hiyo imetoka.

Diwani wa TLP tayari sasa keshapata unaibu meya.

Narudia tena nilosema jana, CCM wanapotaka kitu na wewe ukaweka mizengwe, ama watakuhamisha, au watakuundia kesi ulale ndani wafanye wanavyotaka au watakutuma usafiri nje ya nchi au watakulaza hospitali kwa nguvu hata kama huumwi ila wapitishe wanachotaka. Nia ya CCM ilikuwa ni kuhakikisha walau madiwani wawili wa CHADEMA hawaingii kwa kikao na hilo wamefanikiwa.

CHADEMA mnapoona kuwa mnaelekea kushinda, mjitahidi sana kutokuwa na hasira. Muepuke kumshikia manati kuku wenu kwani wapita njia wanaweza wakapiga mayowe wakifikiri ni vibaka. Kila jambo lifanyiwe uchunguzi wa kina. Epukeni kumkimbiza kichaa alowanyanganya taulo. CCM inajifanya kichaa ili uikimbize watu wakushangae wakati yenyewe inakamilisha mambo yao. Ukirudi wameshamwaga maji yako na sabuni wamechukua.
 
Maajabu yalianza kujitokeza hiyo saa 3 asubuhi badala ya wajumbe wa CHADEMA kwenda kwenye kikao cha kumchagua Meya waliamua kufanya kikao Hotel Ikweta mkabala na ukumbi wa manispaa ya Arusha.Mheshimiwa Kivuyo baada ya kuona wajumbe wa CHADEMA hawaingii kwenye mkutano aliamua kuwafuata Ikweta Hotel kuwasihi wahudhurie kwenye kikao kwakuwa bado walikuwa na nafasi ya kushinda kiti cha umeya lakini juhudi zake hazikuzaa matunda wajumbe wa CHADEMA waliendelea kususia kikao cha uchaguzi wa Meya.]

Duh...sasa hizo zilikuwa bange!!
 
tumuombee apone na ajifunze kufata utaratibu

hivyo vitisho na ujuaji ndio vinavyokugharimuni gharama nzito na nyny wachochezi waongo hamna lolote kazi zogo tu

mnakaanga mbuyu mnawaachia wenye meno kutafuna

Wakati ukifika ndipo utajua mbuyu umekaangwa na unaliwa na wote subiri unadhani ukisema uchochozi wakati serikali ya CCm inanyonga haki za watu tutakaa tuu na kuchecheka wakati wa action ni sasa
 
Viongozi chama tawala na serikalini si muda wameshaanza kuiingiza TZ ktk uvunjifu wa amani. Kinachoendelea Arusha ni Tamaa ya madaraka na wizi wa mali za serikali unaowafanya vigogo kuhakikisha kuwa wanakamata umeya wa Arusha at any cost kulinda maslahi yao.

Kulikuwa na sababu gani ya kuwa na askari wa ngazi zote ktka uchanguzi wa umeya? Hivi bado mnafikiri kuwa watanzania ni wapumbavu kiasi hicho kuwa wataamini tu wakiambiwa kuwa CDM ndio wanaleta fujo? Hivi ni kwanini serkali na vyombo vyake inataka tuamini kuwa CDM ni watu wa fujo?

WanaJF ambao mnafikiri kwa kutumia akili zenu wenyewe ukweli ni kwamba anachofanya mkurugenzi pamoja na RPC ni kuepuka kilichowatokea waliowatangulia. Sasa RPC anaona kupiga watu na kutumia nguvu kuwa ametimiza wajibu wake. Bila aibu anasema aliwatawawanya wafuasi wa CDM (sijui alijuaje kuwa wote walioko haponi wa CDM) baada ya kuona dalili ya uvunjifu wa amani. Mbali ya kuwa unprofessional kitendo cha kuwatawanya watu ambao wako peaceful ni cha makusudi tu ili iwe excuse kwa polisi kutumia nguvu ili ionekane kuwa CDM walileta fujo. Polisi Arusha wanatia aibu ni kama hamna uongozi kabisa BIG UP kwa Basilio Matei kwa kuweza kusimamia uchaguzi mkuu si huu wa umeya ambao ni ni wazi kabisa kuwa umewashinda kabisa.

Haingii akilini ni kwanini mkurugenzi aliendelea kuendesha kikao cha uchaguzi wakati wajumbe hawajatimia? Hiki Kama si kitendo cha makusudi kwa maslahi ya CCM na serikali huyo kweli anaweledi wa kuongoza jiji?

Ni kitu kibaya sana kuona kuwa serikali ya CCM inajitahidi juu chini kuleta machafuko nchini. Hivi kwa nini kulazimisha kuwa na meya wa CCM mbona upinzani (CDM by default) ndio wanapashwa kutoa meya? Je huyo katibu wa CCM Arusha ambaye ni diwani Tanga ameingiaje kwenye mchakato wa vikao vya udiwani Arusha?
 
Jana tulionya kuhusu watu madiwani wa CHADEMA kutokujihusisha na kitendo chochote kitakachoruhusu uchaguzi ufanyike bila wao kuwepo. Uchaguzi sasa umefanyika na CCM wamechukua Halmashauri na hiyo imetoka.

Diwani wa TLP tayari sasa keshapata unaibu meya.

Narudia tena nilosema jana, CCM wanapotaka kitu na wewe ukaweka mizengwe, ama watakuhamisha, au watakuundia kesi ulale ndani wafanye wanavyotaka au watakutuma usafiri nje ya nchi au watakulaza hospitali kwa nguvu hata kama huumwi ila wapitishe wanachotaka. Nia ya CCM ilikuwa ni kuhakikisha walau madiwani wawili wa CHADEMA hawaingii kwa kikao na hilo wamefanikiwa.

CHADEMA mnapoona kuwa mnaelekea kushinda, mjitahidi sana kutokuwa na hasira. Muepuke kumshikia manati kuku wenu kwani wapita njia wanaweza wakapiga mayowe wakifikiri ni vibaka. Kila jambo lifanyiwe uchunguzi wa kina. Epukeni kumkimbiza kichaa alowanyanganya taulo. CCM inajifanya kichaa ili uikimbize watu wakushangae wakati yenyewe inakamilisha mambo yao. Ukirudi wameshamwaga maji yako na sabuni wamechukua.

unajastufy kitu cha kipumbavu sana na huna hata uchungu na nchi yako watu wameingiza mamuluki kutoka Tanga wewe unataka watu waingie kupiga kura wee vipi
 
Wanasiasa wana haki ya kujilinda iwapo Dola haipo tayari kuwawekea ulinzi. Kwa hali ya Arusha ilivyo ni muhimu sana kwa Mbunge wa Arusha kuwa na silaha ili kujilinda. Wanasiasa ni watu, wakipigwa wanaumia, wanatoka damu pia!

Ni kweli mkuu kutembea na silaha si kosa. Na ndo maana wamepewa ili ziwasaidie ulinzi. Pia ukiwa na Silaha unatakiwa uiliiende. Hivyo kama kweli Lemmah katoa Silaha mbele ya Polisi inawezeka ni katika harakati za kuizuia isidondoke wakati wa kurupushani au kutaka kuisalimisha. Lakini leo nimesikia TBC taifa walichokisema ni kuwa Lemma alikuwa anawatishia Polisi na silaha.

Unajua polisi wanatakiwa wakutaarifu kuwa uko chini ya ulinzi na ukitii ndo wakuambie kama una silaha itoe. Ila tatizo la polisi wetu huwa wakitaka kukukamata wanaanza na mateke mpaka ukae mwenyewe. Sasa katika hili zoezi, hata kama silaha itaanguka au utaitoa tayari inakuwa ulikuwa unawatishia polisi.

Pole Mheshimiwa Lemma na tunakuombea Mungu upone haraka.
 
unajastufy kitu cha kipumbavu sana na huna hata uchungu na nchi yako watu wameingiza mamuluki kutoka Tanga wewe unataka watu waingie kupiga kura wee vipi


Kwa nini hawakukimbilia mahakamani hiyo jana kumkataa huyo diwani. Kwani huyo mtu wa Tanga leo kapiga kura. CCM walimleta huyo mtu toka Tanga wakijua CHADEMA watasusa na wakishasusa watajipigia kura na utasikia kuwa huyo mtu alikuja kushuhudia uchaguzi. Kwangu mimi haiingii akilini kama inawezekana mtu toka halmashauri nyingine kupiga kura. Kama huo uwezekano upo, CHADEMA nao wangeita toka Moshi.
 
hii ni uonevu wa hali ya juu, CDM must act powerfully and legally, this is unacceptable i see worst days of CCM are comming soon, wananchi na watu wote tunaona.
 
Nasoma haya huku moyo unauma saana.
Hivi kweli hii ndio Tanzania ambayo Nyerere na wenzake waliota kuijenga??
Halafu Mizengo Pinda anajiita mtoto wa mkulima for what??? Pinda uchafu huu unatendeka chini ya mamlaka yako, kweli Mzee Kayanza kule Kibaoni Mpanda atakufurahia kwa matendo haya?? Umefanya maamuzi ya ajabu ajabu kule Kigoma jana sasa haya madudu mengine.
Hivi kweli kesho utaingia kanisani kumuomba muumba na utatoa sadaka?? Nanyi watumishi wa Mungu mapadri kweli kiongozi kama huyu unampa ekarist takatifu kesho kanisani, je mnamtumikia Mungu yupi??

Hivi ndio sababu mlifuta JKT ili watanzania tusijue hata kutumia bunduki?? Mna uhakika hatuwezi kutumia machettes???? Pinda tuepusheni watanzania na dhambi hizi. Leo Nyerere akiamka akakuta watanzania tunatamani kushika AK-47 ili kupata haki yetu si atakufa kwa kihoro.

It pains big time!
 
Tundu Lisu, Mabere Marando, Mbowe, Zitto na viongozi wote wa CDM jamani mbona mna full surport ya watz wote. Hebu semeni chochote tuikomboe hii nchi mikononi mwa wanyama. Yaani tunakuwa watumwa kwenye nchi yetu wenyewe, Polisi si kosa lao maana money talks.
 
Imeniuma na kunisikitisha sana, haya yana mwisho wake na wala sio muda mrefu, waendeleee kuwaonea wananchi tu, sauti na nguvu ya mwenye haki haipotei hata siku moja
 
Kwa nini hawakukimbilia mahakamani hiyo jana kumkataa huyo diwani. Kwani huyo mtu wa Tanga leo kapiga kura. CCM walimleta huyo mtu toka Tanga wakijua CHADEMA watasusa na wakishasusa watajipigia kura na utasikia kuwa huyo mtu alikuja kushuhudia uchaguzi. Kwangu mimi haiingii akilini kama inawezekana mtu toka halmashauri nyingine kupiga kura. Kama huo uwezekano upo, CHADEMA nao wangeita toka Moshi.
ukweli wenyewe hawakupaswa hata kwenda mahakamani wala kuita diwani mwingine toka moshi kwa sababu Kanuni zinajulikana na ndio mwongozo wa uchaguzi wa Meya wanachofanya ni kwamba Arusha hakutatawalika tumeona hao ukikaa kimya na kufuata ustaarabu hawajui tunataka kuonyesha dunia kwamba wananchi sio madondocha ,tutakula nao sahani moja ,mabadiliko yanaanzia Arusha believe me
 
CCM walimleta huyo mtu toka Tanga wakijua CHADEMA watasusa na wakishasusa watajipigia kura na utasikia kuwa huyo mtu alikuja kushuhudia uchaguzi.

Exactly, bahati mbaya sana Chadema wakaingia kwenye mtego kichwakichwa.
 
vipi kuna Mwanajamvi yeyote yote sehemu za Arusha atupe latest za huko....... au ndio tungoje mpaka kesho for further details?, Je wakazi wa A-town wamelichukuliaje hii issue?, Je mambo yapo shwari huko?, Je ndugu Lema bado yupo hospitali na hali yake inaendeleaje?........
 
Back
Top Bottom