Tena wanakwambia CCM imeleta maendeleo makubwa sn
Kaskazini hakuna watu wapumbavu 95% ni wajanja, kwani asitoe dawa na vifaa tiba kukinga vifo?Huku kwetu morogoro Abood hutoa bus kwaajili ya msiba. Anatusaidia sana wana morogoro kongole kwake...
Wana chuga hawana shukrani
Misaada kwa wanyonge, badala mkomae na sera nzuri za nchi mnashabikia samaki wa kupewa?Huku kwetu morogoro Abood hutoa bus kwaajili ya msiba. Anatusaidia sana wana morogoro kongole kwake...
Wana chuga hawana shukrani
Huko Morogoro Mungu wao ni Abood, yaani maendeleo makubwa ni kutoa gari la kubebea Maiti, akisha wabebea maiti wanamuona Mungu, hawana haja na maendeleoKaskazini hakuna watu wapumbavu 95% ni wajanja, kwani asitoe dawa na vifaa tiba kukinga vifo?
Huo ni ukanda wa pwani pwani ni wavivu haswa, huwezi kuona mwarabu au mhindi ni mbunge kaskaziniHuko Morogoro Mungu wao ni Abood, yaani maendeleo makubwa ni kutoa gari la kubebea Maiti, akisha wabebea maiti wanamuona Mungu, hawana haja na maendeleo
Hata akitoa hivyo ulivyovitaja, WATAKUFA TU..!!Kaskazini hakuna watu wapumbavu 95% ni wajanja, kwani asitoe dawa na vifaa tiba kukinga vifo?
Kinga ni bora, kipaumbele ni gari la maiti?Hata akitoa hivyo ulivyovitaja, WATAKUFA TU..!!
Nani alifariki akakwama kuzikwa kisa gari limekosekana? lini umesikia Arusha walilalamika wamekosa gari la kubeba maiti?Binadamu hawana shukrani tenda wema nenda zako. Wao mbona hawakununua sasa hilo gari kama walikua na uwezo?
Duh! Yaani bango aliloandaa kujitangaza lina thamani kuliko hata banda lenyewe!!
Mb Mtaturu apewe maua yake... 🌹🌹🌹🥀🌺
NImeona kama masihara vile, ukute kulikuwa na siku ya ufunguziDuh! Yaani bango aliloandaa kujitangaza lina thamani kuliko hata banda lenyewe!!