Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Na misaada tunahitajiMisaada kwa wanyonge, badala mkomae na sera nzuri za nchi mnashabikia samaki wa kupewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na misaada tunahitajiMisaada kwa wanyonge, badala mkomae na sera nzuri za nchi mnashabikia samaki wa kupewa?
Unamchaguliaje mtu msaada wa kutoa? Angetoa madawa mngesema hamtaki mnataka chakulaKaskazini hakuna watu wapumbavu 95% ni wajanja, kwani asitoe dawa na vifaa tiba kukinga vifo?
Kuzika ndiyo kipaumbele? ipo kwenye ilani ya CCM?Unamchaguliaje mtu msaada wa kutoa? Angetoa madawa mngesema hamtaki mnataka chakula
Wapo watakao nufaika na huo msaada, kwani si mengine anafanya kutekeleza ilani?Kuzika ndiyo kipaumbele? ipo kwenye ilani ya CCM?
Nani ulisikia ameshindwa kuzikwa Arusha kisa gari la kubeba maiti?Wapo watakao nufaika na huo msaada, kwani si mengine anafanya kutekeleza ilani?