Mbunge wa CHADEMA ang'aka kuhusu wahujumu uchumi kuachwa huku wenye kesi ndogo wapo jela

Mbunge wa CHADEMA ang'aka kuhusu wahujumu uchumi kuachwa huku wenye kesi ndogo wapo jela

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
👇
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum

#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJ

20220603_012904.jpg
 
Nimemwona akipiga kelele bungeni,Mdee hana hata mshipa wa aibu ,kasimama bungeni hajulikani yeye wa chama kipi,anachofanya hapo ni kupiga kelele japo aonekana.
Data za Bunge zinasema ni wa chama gani?
 
👇
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum
#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJView attachment 2248690
Kwani Chadema imefufuka! Mlikwisha sema ilikufa, mnaipenda nyie ila mnaona aibu.
 
Hata yeye mhujumu uchumi,huwezi sema Mimi nimwana familia huku wazazi wako wamekukataa?
 
Chadema haina mbunge mwenye jina hilo
Mnaumia mkiwa wapi? Hujui taratibu za nchi. Mpaka ithibitishwe na mahakama. Siyo mkae vikao vyenu vyà harusi eti mnafukuzà watu. Si mlisema mahakama uchwara! Kawatoeni kwa nguvu basi
 
Nimemwona akipiga kelele bungeni,Mdee hana hata mshipa wa aibu ,kasimama bungeni hajulikani yeye wa chama kipi,anachofanya hapo ni kupiga kelele japo aonekana.
SASA wabongo vichwa vyenu wengine vimejaa mavi badala ujadili hoja yake unaanza kuleta mambo ya binafsi kwani ye kalazimisha kuwa pale
 
SASA wabongo vichwa vyenu wengine vimejaa mavi badala ujadili hoja yake unaanza kuleta mambo ya binafsi kwani ye kalazimisha kuwa pale
una akili makalioni
 
👇
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum
#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJView attachment 2248690
Yeye mwenyewe kwanza ni mhujumu uchumi waanze naye
 
[emoji116]
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum

#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJ

View attachment 2248690
Na yeye zile B10 alizohongwa na Meko kuisaliti Chadema inaangukia kwenye uhujumu uchumi
 
Na yeye zile B10 alizohongwa na Meko kuisaliti Chadema inaangukia kwenye uhujumu uchumi
Ndee ndiye alijenga Chadema akiwa na Slaa na Zitto, hivo Mdee kufukuzwa kama mbwa jambo hilo alikubaliki wacha mahakama ihamue, tatizo Sasahivi Chadema hamtaki kusikia neno fisadi na ujumu Uchumi likisemwa, maana sasahivi mmeisha funga nao ndoa.
 
Ndee ndiye alijenga Chadema akiwa na Slaa na Zitto, hivo Mdee kufukuzwa kama mbwa jambo hilo alikubaliki wacha mahakama ihamue, tatizo Sasahivi Chadema hamtaki kusikia neno fisadi na ujumu Uchumi likisemwa, maana sasahivi mmeisha funga nao ndoa.
Ulimola
 
Back
Top Bottom