Kwani Chadema imefufuka! Mlikwisha sema ilikufa, mnaipenda nyie ila mnaona aibu.π
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum
#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJView attachment 2248690
Mnaumia mkiwa wapi? Hujui taratibu za nchi. Mpaka ithibitishwe na mahakama. Siyo mkae vikao vyenu vyΓ harusi eti mnafukuzΓ watu. Si mlisema mahakama uchwara! Kawatoeni kwa nguvu basiChadema haina mbunge mwenye jina hilo
SASA wabongo vichwa vyenu wengine vimejaa mavi badala ujadili hoja yake unaanza kuleta mambo ya binafsi kwani ye kalazimisha kuwa paleNimemwona akipiga kelele bungeni,Mdee hana hata mshipa wa aibu ,kasimama bungeni hajulikani yeye wa chama kipi,anachofanya hapo ni kupiga kelele japo aonekana.
una akili makalioniSASA wabongo vichwa vyenu wengine vimejaa mavi badala ujadili hoja yake unaanza kuleta mambo ya binafsi kwani ye kalazimisha kuwa pale
Yeye mwenyewe kwanza ni mhujumu uchumi waanze nayeπ
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum
#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJView attachment 2248690
Bwana ake Ndugai si yupo humoNimemwona akipiga kelele bungeni,Mdee hana hata mshipa wa aibu ,kasimama bungeni hajulikani yeye wa chama kipi,anachofanya hapo ni kupiga kelele japo aonekana.
Na yeye zile B10 alizohongwa na Meko kuisaliti Chadema inaangukia kwenye uhujumu uchumi[emoji116]
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum
#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJ
View attachment 2248690
MBUNGE WA BUNGE/TUME YA UCHAGUZI[emoji116]
Haiwezekani watu wana kesi ndogo ndogo wako ndani halafu wenye kesi ya uhujumu uchumi unakaa nao tu (Waziri wa Nishati), huwezi kutofautisha suala la kusababishia hasara serikali katika suala la Symbion na uhujumu uchumi" @halimamdee, Mbunge viti Maalum
#LeoBungeni https://t.co/PcCNggoZJ
View attachment 2248690
Ndee ndiye alijenga Chadema akiwa na Slaa na Zitto, hivo Mdee kufukuzwa kama mbwa jambo hilo alikubaliki wacha mahakama ihamue, tatizo Sasahivi Chadema hamtaki kusikia neno fisadi na ujumu Uchumi likisemwa, maana sasahivi mmeisha funga nao ndoa.Na yeye zile B10 alizohongwa na Meko kuisaliti Chadema inaangukia kwenye uhujumu uchumi
UlimolaNdee ndiye alijenga Chadema akiwa na Slaa na Zitto, hivo Mdee kufukuzwa kama mbwa jambo hilo alikubaliki wacha mahakama ihamue, tatizo Sasahivi Chadema hamtaki kusikia neno fisadi na ujumu Uchumi likisemwa, maana sasahivi mmeisha funga nao ndoa.