johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
huyo hata meko alishasema moyo wake upo ccm mwili tu ndo upo cdmMbunge wa Chadema ( jina linahifadhiwa kwa sasa) ameonakana katika mtaa wa lumumba akiwa na mwenezi wa CCM wakiteta jambo lililoonekana kuwa la muhimu sana.
Tusubiri kidogo labda wanaccm mtapatiwa zawadi ya Krismas.
Maendeleo hayana vyama!
Mwambe na aende tu,Mbunge wa Chadema ( jina linahifadhiwa kwa sasa) ameonakana katika mtaa wa lumumba akiwa na mwenezi wa CCM wakiteta jambo lililoonekana kuwa la muhimu sana.
Tusubiri kidogo labda wanaccm mtapatiwa zawadi ya Krismas.
Maendeleo hayana vyama!
MwambeMbunge wa Chadema ( jina linahifadhiwa kwa sasa) ameonakana katika mtaa wa lumumba akiwa na mwenezi wa CCM wakiteta jambo lililoonekana kuwa la muhimu sana.
Tusubiri kidogo labda wanaccm mtapatiwa zawadi ya Krismas.
Maendeleo hayana vyama!
Sema Cesilia Mwambene usiende mbali waliomtuma mkakati wao umebuma akawasalimie akina Waitara.Mbunge wa Chadema ( jina linahifadhiwa kwa sasa) ameonakana katika mtaa wa lumumba akiwa na mwenezi wa CCM wakiteta jambo lililoonekana kuwa la muhimu sana.
Tusubiri kidogo labda wanaccm mtapatiwa zawadi ya Krismas.
Maendeleo hayana vyama!
Procurement and supplies officer!! [emoji1][emoji1][emoji1]Alionekana akiwa na Afisa Manunuzi wa Chama
Umdhaniye siye kwani Arusha walimalizana salama?Mwambe na aende tu,
Bwashee usipige ramli unamkumbuka Dr Masumbuko?Sema Cesilia Mwambene usiende mbali waliomtuma mkakati wao umebuma akawasalimie akina Waitara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina!Waje tu watoke huko kwenye mahangaiko...