Huyu Mbunge wa COVID 19 ameamua kwenda jino kwa jino na Lissu huko Singida Mashariki
==============================================
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Nusrat Hanje, ametangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Akitangaza azma yake Februari 20, 2025, nyumbani kwake Ikungi, Singida, wakati wa Maombi na Dua ya Kumwombea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Amani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Hanje amesema ana dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi wa Singida Mashariki.
Ameeleza kuwa nia yake ya kugombea inatokana na hamu ya kuwasaidia wananchi, huku akisisitiza kuwa ubunge wake hautakuwa kwa ajili ya kujitajirisha.
"Nafikiri mtapata Mbunge ambaye kwa mara ya kwanza mtafurahia kuwa naye, kwa sababu sijapanga kutajirika kupitia Ubunge. Nitahakikisha ninagawana nanyi kadri inavyofaa," amesema Hanje.
Mkuu siku hizi naona kichwa chako kimepoteza focus kabisa. Chuki iliyonayo kwa Lissu inakufanya hata uone ni bora Samia ateue wabunge wote wa Tanzania kuliko Lissu kupata tena ubunge. Hili jambo huwa linanishangaza sana. Watu wengi walio upinzani wanapotofautiana na wenzao wanakuwa wabaya kuliko hata CCM.
Mkuu siku hizi naona kichwa chako kimepoteza focus kabisa. Chuki iliyonayo kwa Lissu inakufanya hata uone ni bora Samia ateue wabunge wote wa Tanzania kuliko Lissu kupata tena ubunge. Hili jambo huwa linanishangaza sana. Watu wengi walio upinzani wanapotofautiana na wenzao wanakuwa wabaya kuliko hata CCM.
Siye huyu ameomba dua Samia ashinde uchaguzi?anajua kucheza na akili zake maana kasema anataka kumuombea mteuzi wake akijua fika kitendo hicho kitampendeza ili amkingie kifua huko mbele ya safari.
Siye huyu ameomba dua Samia ashinde uchaguzi?anajua kucheza na akili zake maana kasema anataka kumuombea mteuzi wake akijua fika kitendo hicho kitampendeza ili amkingie kifua huko mbele ya safari.
Unajua Tanzania tuna hasara kubwa sana ambayo athari zake zitajitokeza miaka ijayo na kila mtu atatucheka. Kwenye uchaguzi rais ndiye anaamua nani ashinde na siyo wananchi. Ndiyo hawa hawaogopi wananchi.
"Nafikiri mtapata Mbunge ambaye kwa mara ya kwanza mtafurahia kuwa naye, kwa sababu sijapanga kutajirika kupitia Ubunge. Nitahakikisha ninagawana nanyi kadri inavyofaa," amesema Hanje.
Huyu Mbunge wa COVID 19 ameamua kwenda jino kwa jino na Lissu huko Singida Mashariki
==============================================
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Nusrat Hanje, ametangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.
Akitangaza azma yake Februari 20, 2025, nyumbani kwake Ikungi, Singida, wakati wa Maombi na Dua ya Kumwombea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Amani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Hanje amesema ana dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi wa Singida Mashariki.
Ameeleza kuwa nia yake ya kugombea inatokana na hamu ya kuwasaidia wananchi, huku akisisitiza kuwa ubunge wake hautakuwa kwa ajili ya kujitajirisha.
"Nafikiri mtapata Mbunge ambaye kwa mara ya kwanza mtafurahia kuwa naye, kwa sababu sijapanga kutajirika kupitia Ubunge. Nitahakikisha ninagawana nanyi kadri inavyofaa," amesema Hanje.