Pre GE2025 Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki

Pre GE2025 Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Huyu Mbunge wa COVID 19 ameamua kwenda jino kwa jino na Lissu huko Singida Mashariki

==============================================

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Nusrat Hanje, ametangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Akitangaza azma yake Februari 20, 2025, nyumbani kwake Ikungi, Singida, wakati wa Maombi na Dua ya Kumwombea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Amani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Hanje amesema ana dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi wa Singida Mashariki.

Ameeleza kuwa nia yake ya kugombea inatokana na hamu ya kuwasaidia wananchi, huku akisisitiza kuwa ubunge wake hautakuwa kwa ajili ya kujitajirisha.

"Nafikiri mtapata Mbunge ambaye kwa mara ya kwanza mtafurahia kuwa naye, kwa sababu sijapanga kutajirika kupitia Ubunge. Nitahakikisha ninagawana nanyi kadri inavyofaa," amesema Hanje.

Tundu Lissu hajapeleka maendeleo yoyote SM....

WanaSM wanahitaji mbunge aina ya mh.Nusrat Hanje ,ni kijana , shupavu,ana maono na amejifunza tabia njema kwa sasa baada ya akina Mwaipaya kumwingiza katika lile kundi lako la "pingapinga" kufikia kuuimba wimbo na TUNU ya taifa kwa "midundo ya singeli na reggae"....

Mh.Nusrat kakomaa kizalendo si huyu TL kibaraka wa akina Robert Amsterdam......
 
Wakuu,

Huyu Mbunge wa COVID 19 ameamua kwenda jino kwa jino na Lissu huko Singida Mashariki

==============================================

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Nusrat Hanje, ametangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Akitangaza azma yake Februari 20, 2025, nyumbani kwake Ikungi, Singida, wakati wa Maombi na Dua ya Kumwombea Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Amani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Hanje amesema ana dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi wa Singida Mashariki.

Ameeleza kuwa nia yake ya kugombea inatokana na hamu ya kuwasaidia wananchi, huku akisisitiza kuwa ubunge wake hautakuwa kwa ajili ya kujitajirisha.

"Nafikiri mtapata Mbunge ambaye kwa mara ya kwanza mtafurahia kuwa naye, kwa sababu sijapanga kutajirika kupitia Ubunge. Nitahakikisha ninagawana nanyi kadri inavyofaa," amesema Hanje.

Anagombea kwa uchaguzi upi , ikumbukwe no REFORM NO ELECTIONS, hivi hawa wajinga wanajitambua kweli .

Kwa kauli hii mpaka sasa hakuna uchaguzi , ukipitia maandiko yangu mengi ya nyuma ,

Nimerudia mara nyingi kwamba( endapo uchaguzi ukifanyika 2025 ccm itapigwa kama ngoma ) zingatia neno uchaguzi ukifanyika na hili liwakae vinywani nyie maccm .

Leo eti mnamleta makamu mwenyekiti mzee , kisa hana cha kupoteza maana mda amekula maisha na mda mda aliobakia nao Duniani ni mchache sana . Sasa ccm mtachagua Taifa life au lisimame.

Nyie machawa siku zenu zaesabika sana, mwamini Mungu sio binadam, pigania taifa sio mtu binafsi , kesho upo, kesho kutwa haupo ila ukoo wako wapo watakao kuwepo .

Machawa mnaenda siku moja kufa midomo wazi
 
Anagombea kwa uchaguzi upi , ikumbukwe no REFORM NO ELECTIONS, hivi hawa wajinga wanajitambua kweli .

Kwa kauli hii mpaka sasa hakuna uchaguzi , ukipitia maandiko yangu mengi ya nyuma ,

Nimerudia mara nyingi kwamba( endapo uchaguzi ukifanyika 2025 ccm itapigwa kama ngoma ) zingatia neno uchaguzi ukifanyika na hili liwakae vinywani nyie maccm .

Leo eti mnamleta makamu mwenyekiti mzee , kisa hana cha kupoteza maana mda amekula maisha na mda mda aliobakia nao Duniani ni mchache sana . Sasa ccm mtachagua Taifa life au lisimame.

Nyie machawa siku zenu zaesabika sana, mwamini Mungu sio binadam, pigania taifa sio mtu binafsi , kesho upo, kesho kutwa haupo ila ukoo wako wapo watakao kuwepo .

Machawa mnaenda siku moja kufa midomo wazi
Si wewe wa kuuzuia uchaguzi mkuu wa nchi....

Si huyo boss wako mropokaji anayeweza kuuzuia huo uchaguzi mkuu.....

Kwa merits zipi anaweza kuuzuia uchaguzi mkuu ?!!

TL aache kujipa "matrkkkkoo yasiyo na kiuno....".

CCM haiwezi kupigwa kama "ngoma..."

Jidanganye Mwayego.....
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Si wewe wa kuuzuia uchaguzi mkuu wa nchi....

Si huyo boss wako mropokaji anayeweza kuuzuia huo uchaguzi mkuu.....

Kwa merits zipi anaweza kuuzuia uchaguzi mkuu ?!!

TL aache kujipa "matrkkkkoo yasiyo na kiuno....".

CCM haiwezi kupigwa kama "ngoma..."

Jidanganye Mwayego.....
Hujui dunia na mbingu, upo kama zezeta tu, so ni bure bishana na kapuku katika ufalme wa Mbingu.

So wafikili ni nyie ccm wa kuamua mstakabali wa taifa hili? TWENDE mda mwalim .

Zipo sauti zikitoka si za kimlaka za kidunia sasa chukulia poa , niite mbwa nipo pale
 
Unajua Tanzania tuna hasara kubwa sana ambayo athari zake zitajitokeza miaka ijayo na kila mtu atatucheka. Kwenye uchaguzi rais ndiye anaamua nani ashinde na siyo wananchi. Ndiyo hawa hawaogopi wananchi.
Sio uchaguzi wa mwaka huu bro...😀😀... trust me and sticky this comment, hakuna rais wala makamu wa rais atakayembeba mtu yeyote katika uchaguzi wa kipindi hiki... wote hao wako bize kupambania nafasi zao maana mpaka muda huu zipo 50/50... Halafu ndio useme wambebe huyo Nusura.... No way... Uchaguzi wa mwaka ni wa kihistoria na wa tofauti kuliko yote... Kama Chadema wangekua na vision ya mbali wangeachana na hayo marekebisho waingie hivi hivi, niamini hakuna kura ingeibiwa au polisi kuingilia.
 
Hujui dunia na mbingu, upo kama zezeta tu, so ni bure bishana na kapuku katika ufalme wa Mbingu.

So wafikili ni nyie ccm wa kuamua mstakabali wa taifa hili? TWENDE mda mwalim .

Zipo sauti zikitoka si za kimlaka za kidunia sasa chukulia poa , niite mbwa nipo pale
Sitishiki na Tambo zako koko....acha kujitia "chiiizzyyy" mkuu wangu.....

Sauti ya mamlaka imetekeleza kumteua mh.Rais Samia na mgombea wake mwenza kamarada Emmanuel.J.Nchimbi....

Hebu punguza vibweka tusikuweke kundi la wateja wa "modicate"......
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sio uchaguzi wa mwaka huu bro...😀😀... trust me and sticky this comment, hakuna rais wala makamu wa rais atakayembeba mtu yeyote katika uchaguzi wa kipindi hiki... wote hao wako bize kupambania nafasi zao maana mpaka muda huu zipo 50/50... Halafu ndio useme wambebe huyo Nusura.... No way... Uchaguzi wa mwaka ni wa kihistoria na wa tofauti kuliko yote... Kama Chadema wangekua na vision ya mbali wangeachana na hayo marekebisho waingie hivi hivi, niamini hakuna kura ingeibiwa au polisi kuingilia.
Sahihi.
 
Hata Lissu anatumiwa.
Hiko hivi mkuu bila kujali vyama ,kabila, Taifa ni muhim kuliko yoyote , aya mambo yakujipa kiburi kwamba sijui wewe ni Rais , makam,waziri mkuu, sijui ,Igp, Cdf , mkurugenzi Taifa TISS n.k sio mda sahii kwa nchi kama tz ,ambayo imekua gumzo Dunia hii anzia uhuru, swa la hapa ni kukaa na kuamua tunaondokaje hapa kwa umoja kama Taifa.

Vinginevyo Taifa linaenda angamia na wenda nyanyuka badae sana , utamcheka mtu kwamba anaongea ujinga kisa upo kwa mamlaka ,unajidanganya
 
Mkuu siku hizi naona kichwa chako kimepoteza focus kabisa. Chuki iliyonayo kwa Lissu inakufanya hata uone ni bora Samia ateue wabunge wote wa Tanzania kuliko Lissu kupata tena ubunge. Hili jambo huwa linanishangaza sana. Watu wengi walio upinzani wanapotofautiana na wenzao wanakuwa wabaya kuliko hata CCM.
Wanachadema wameshachoka kufanya siasa wengi wao kwa Sasa wanaona aibu tu kujiunga na ccm

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiko hivi mkuu bila kujali vyama ,kabila, Taifa ni muhim kuliko yoyote , aya mambo yakujipa kiburi kwamba sijui wewe ni Rais , makam,waziri mkuu, sijui ,Igp, Cdf , mkurugenzi Taifa TISS n.k sio mda sahii kwa nchi kama tz ,ambayo imekua gumzo Dunia hii anzia uhuru, swa la hapa ni kukaa na kuamua tunaondokaje hapa kwa umoja kama Taifa.

Vinginevyo Taifa linaenda angamia na wenda nyanyuka badae sana , utamcheka mtu kwamba anaongea ujinga kisa upo kwa mamlaka ,unajidanganya
Acha hoja za kitoto....

Katiba ya nchi ndiyo inayowainua hao viongozi....biblia tu iliwainua baadhi na kuwaacha wengine....

Unaongea POROJO KOKO gani?!!
 
Mkuu siku hizi naona kichwa chako kimepoteza focus kabisa. Chuki iliyonayo kwa Lissu inakufanya hata uone ni bora Samia ateue wabunge wote wa Tanzania kuliko Lissu kupata tena ubunge. Hili jambo huwa linanishangaza sana. Watu wengi walio upinzani wanapotofautiana na wenzao wanakuwa wabaya kuliko hata CCM.
Mbona hakuna alipomgusa Lisu? Hata huyo Lisu ni lini kasema anagombea ubunge?

Chadema haina mgombea Urais kwa sasa zaidi ya Lisu.

Swali anagombea kupitia chama gani? Kama ni ccm wanamfyeka mapema tu kwenye kura za maoni.

Kama sikisei mbunge wa sasa ni Kingu, ni mtu wa mfumo ccm hawawezi kumuacha mtu wao kwa ajuli ya condom iliyotumika.
 
Sitishiki na Tambo zako koko....acha kujitia "chiiizzyyy" mkuu wangu.....

Sauti ya mamlaka imetekeleza kumteua mh.Rais Samia na mgombea wake mwenza kamarada Emmanuel.J.Nchimbi....

Hebu punguza vibweka tusikuweke kundi la wateja wa "modicate"......
Huna akili, mwenye akili uchutama
 
Sio uchaguzi wa mwaka huu bro...😀😀... trust me and sticky this comment, hakuna rais wala makamu wa rais atakayembeba mtu yeyote katika uchaguzi wa kipindi hiki... wote hao wako bize kupambania nafasi zao maana mpaka muda huu zipo 50/50... Halafu ndio useme wambebe huyo Nusura.... No way... Uchaguzi wa mwaka ni wa kihistoria na wa tofauti kuliko yote... Kama Chadema wangekua na vision ya mbali wangeachana na hayo marekebisho waingie hivi hivi, niamini hakuna kura ingeibiwa au polisi kuingilia.

..wameisha-test mitambo ktk uchaguzi serikali za mitaa.

..uchaguzi mkuu utakuwa na vurugu kubwa zaidi haswa Zanzibar.
 
Back
Top Bottom