Tetesi: Mbunge wa Geita Mhe. Msukuma Achukuliwa Mkojo ili ukapimwe kwa Mkemia Mkuu

Tetesi: Mbunge wa Geita Mhe. Msukuma Achukuliwa Mkojo ili ukapimwe kwa Mkemia Mkuu

Kutakuwa kuna washirikina wengi kwa viongozi wa kijiji hiki. Kila siku kuchukua mokojo ya watu
 
kama wewe si mwandishi wala huna taaluma hii basi kukuelewesha itachukuwa mda sana
Ktk akili ya kawaida mwandishi anapaswa kuhoji juu ya uhalisia wa anachotaka kuwasilisha.
Inawezekana vipi maneno aliyoongea bungeni yahojiwe mtaani, Kwa taratibu, kanuni na sheria ipi?
Wanaosema spinning wanakosea?
 
Uhuni huu wa polisiccm kujaribu kufunika vichwa vya wasiojielewa, ili watakapo fanyiwa walengwa ionekane ni sawa tu. Ngasituka!!!
 
Bora wangewapima police wetu hasa ffu wale bange lazma wanatumia mchana kweupe
 
Uongo mtupu kama ule uongo wenu wa Nyalandu kuitwa CC'...Bawacha bhana...
 
Hahahaha hii ni sinema tu wanataka waonekane hawana upendeleo hamna lolote!


Ila huyu mkemia mkuu wa wakati huu kazi anayo maana kutwa kupima mikojo si bidhaa feki zitazidi sasa maana hana muda wa kuzifanyia vipimo..
 
Habari kutokea Geita zinasema Mbunge wa Jimbo hilo Msukuma amechukuliwa Mkojo ukapimwe, hii nikutaka kujua viashiria vya uchochezi ambavyo vinasababishwa na matumizi ya dawa za kulivya.

Hatua hii imekuja baada ya kufuatilia utetezi wa matumizi ya Bangi uliofanywa na mbunge huyo bungeni hivyo polisi wanafwatilia uhusika wake kwenye bangi
Eti huyu naye ni mwandishi wa habari!!! Profession imeingiliwa na makanjanja!!
 
Shahidi namba 3 kwenye kesi ya Manji alisemaje juu ya upimaji wa MIKOJO?
 
Back
Top Bottom