Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ameamua kutumika na CCM.Mkemia mkuu mbona anafanyishwa kazi za ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameamua kutumika na CCM.Mkemia mkuu mbona anafanyishwa kazi za ajabu
[HASHTAG]#asantealbadr[/HASHTAG]Tulishasema wakitoka kwa wapinzani wataanza kutafunana wenyewe .
Kwa serikali hii ata huyo Yesu wako anaweza pimwa mkojo pia!Sigineeee! What what? Chinekeeeeee! Yesu utarudi lini? Watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa!
Hadithi za kusadikikaHabari kutokea Geita zinasema Mbunge wa Jimbo hilo Msukuma amechukuliwa Mkojo ukapimwe, hii nikutaka kujua viashiria vya uchochezi ambavyo vinasababishwa na matumizi ya dawa za kulivya.
Hatua hii imekuja baada ya kufuatilia utetezi wa matumizi ya Bangi uliofanywa na mbunge huyo bungeni hivyo polisi wanafwatilia uhusika wake kwenye bangi
Tulishasema wakitoka kwa wapinzani wataanza kutafunana wenyewe .
Aisee mwaka huu kazi tunayo.....
Si wanaccm wala si Ukawa, mradi wewe uwe ni mpinzani wa Baba Jesca, basi vipimo hivyo ni muhimu kwako!