Tetesi: Mbunge wa Geita Mhe. Msukuma Achukuliwa Mkojo ili ukapimwe kwa Mkemia Mkuu

Huyu jamaa si alisema bangi iruhusiwe, itakuwa ni mtumiaji mzuri tuu
 
Hadithi za kusadikika
 
Aisee mwaka huu kazi tunayo.....

Si wanaccm wala si Ukawa, mradi wewe uwe ni mpinzani wa Baba Jesca, basi vipimo hivyo ni muhimu kwako!

We usiingie mkenge huyo ni binamu yake Jesca ni sarakasi na sinema tu za kuficha uso tontoo asihadhilike kwa kuua upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…