Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
NakaziaVyuo vya Tanzania vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Doctorate kweli??
Unajua kusoma?Vyuo vya Tanzania vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Doctorate kweli??
Sio kila kitu upinge, huu huwa ni dkt hewa yaani wa heshima usimaind sana.Wanadhaliisha elimu za watu.
Hivi Hamna udaktari wa ubumbumbu🤔.Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo Jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. Amesema “hiki ni chou cha kimataifa na sasa naitwa Dk. Msukuma.”
Tafuta yako na wewe uone ugumu wakeNi sawa tu..hizo prof..dk..eng..hazina maana yyte karne hii...bongo tunazitumia kuvimba mtaani
Hivi unafikiri hatujui akina nani wamefanya assessment hiyo na kupeleka mapendekezo? Kwa taarifa yako ni UDOMUnajua kusoma?
Hiyo kapewa na chuo cha USAVyuo vikuu vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Honorary Doctorate kweli??
Unahakika na kindi uliloliweka pamoja, mbona sijamwona Leprofeser mzee wa buguruni🤔.Ni sawa tu,kwani huyo Musukuma ana tofauti gani na Dr. Bashiru,Prof. Kabudi,Dr. Bana.
Wote akili zao zinafanana kwa 100%.
Ya nini..uoga wa maisha, degree moja inatosha kuonyesha usomi wakoTafuta yako na wewe uone ugumu wake