Mbunge wa Igalula Venant Daudi Protas, wananchi hawapendi kupewa vitisho

Mbunge wa Igalula Venant Daudi Protas, wananchi hawapendi kupewa vitisho

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Ni ukweli mtupu kwamba wananchi ndiyo waliokuajiri. Huwezi kuwatisha na kuwakemea kwenye mikutano yako pale wanapoibuka na hoja zenye mashiko!

Jibu hoja za wananchi acha kuwatishia eti utawaweka rumande! Kama huna uwezo wa kujibu hoja za wananchi usifanye mikutano, simple tu!

Tunajua umeamua kujenga sheli za mafuta kwenye kila kata jimboni kwako. Pambania miundombinu sasa barabara zipitike vizuri!Nashangaa hadi sasa hakuna barabara uliyoipambania kwa wananchi wako!

Siasa sio uadui, ni utumishi kwa wananchi kama hutaki kuwatumikia waachie wanyamwezi waamue wa kuwaongoza nawe urudi kwenu Bukoba!

Rudi kwenye misingi ya uwajibikaji kama chama kitakavyo na si vinginevyo.

Nimeyatoa yaliyonifikia mezani, kazi kwako kuamua kuwatumikia wananchi au kujiuzulu ubunge uchaguzi urudiwe!




"Rasimu ya warioba irudi mezani sasa iwe kaatiba mpya!"
 
Kwahiyo kujenga Sheli Wewe imekuuma? Na wewe kajenge pembeni yake acha wivu wa kike.
 
Mbunge ni mkorofi na zulumati. Ametapeli mpaka wajane halafu anawatishia kwamba atawafanya kitu mbaya. Mbunge anasema eti yeye alikuwa kwenye misafara ya viongozi wakubwa wa nchi hii akiwemo hayati magufuli na Rais wetu wa sasa, mbunge acha matisho na lipa hela za watu pamoja na wajane. Hela za watu umefungulia vituo vya mafuta kila kona, acha dhuluma
 
Kwahiyo kujenga Sheli Wewe imekuuma? Na wewe kajenge pembeni yake acha wivu wa kike.
Umeona nimeponda ujenzi wa sheli!!?sheli ni sawa apambanie miundombinu ya kwenda huko KWA wananchi wake anaowajengea sheli!!!

Sasa akijenga sheli bila Bara Bara atafanyaje biashara?au na wewe ni form four leaver kama yeye reasoning yako ni poor!? Mwambie apambanie Barabara zipitike masika na kiangazi Ili yeye afaidike na wananchi wake pia!!

Usitetee ujinga !!!nadhani umenielewa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Mbunge ni mkorofi na zulumati. Ametapeli mpaka wajane halafu anawatishia kwamba atawafanya kitu mbaya. Mbunge anasema eti yeye alikuwa kwenye misafara ya viongozi wakubwa wa nchi hii akiwemo hayati magufuli na Rais wetu wa sasa, mbunge acha matisho na lipa hela za watu pamoja na wajane. Hela za watu umefungulia vituo vya mafuta kila kona, acha dhuluma
Mkuu

Kumbe na hayo yapo!?

CCM viongozi mko wapi!?

Mtu wenu ni tapeli huku!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Ni ukweli mtupu kwamba wananchi ndiyo waliokuajiri. Huwezi kuwatisha na kuwakemea kwenye mikutano yako pale wanapoibuka na hoja zenye mashiko!

Jibu hoja za wananchi acha kuwatishia eti utawaweka rumande! Kama huna uwezo wa kujibu hoja za wananchi usifanye mikutano, simple tu!

Tunajua umeamua kujenga sheli za mafuta kwenye kila kata jimboni kwako. Pambania miundombinu sasa barabara zipitike vizuri!Nashangaa hadi sasa hakuna barabara uliyoipambania kwa wananchi wako!

Siasa sio uadui, ni utumishi kwa wananchi kama hutaki kuwatumikia waachie wanyamwezi waamue wa kuwaongoza nawe urudi kwenu Bukoba!

Rudi kwenye misingi ya uwajibikaji kama chama kitakavyo na si vinginevyo.

Nimeyatoa yaliyonifikia mezani, kazi kwako kuamua kuwatumikia wananchi au kujiuzulu ubunge uchaguzi urudiwe!




"Rasimu ya warioba irudi mezani sasa iwe kaatiba mpya!"
Igalula ndiyo wapi?
 
Igalula ndiyo wapi?
Ni huko Tabora hasa wilaya ya UYUI Mkuu!!

Maendeleo BADO Sana maeneo hayo yanahitaji kuletwa KWA kelele NYINGI Sana!

Tatizo WANANCHI wa eneo husika wamelala sana na VIONGOZI wanatumia umbumbu wao kuwaumiza!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Unyamwezini Tabora huwa ni mahali pa pekee sana katika siasa za Tanzania.

Huko Unyamwezini (Tabora) iko hivi, mtu yoyote akigombea ubunge akiwahonga wapiga debe kadhaa, basi lazima apate uongozi.

Mikoa mingine hauchaguliwi kama wewe siyo kabila la mkoa huo.
 
Umeona nimeponda ujenzi wa sheli!!?sheli ni sawa apambanie miundombinu ya kwenda huko KWA wananchi wake anaowajengea sheli!!!

Sasa akijenga sheli bila Bara Bara atafanyaje biashara?au na wewe ni form four leaver kama yeye reasoning yako ni poor!? Mwambie apambanie Barabara zipitike masika na kiangazi Ili yeye afaidike na wananchi wake pia!!

Usitetee ujinga !!!nadhani umenielewa!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Punguza makasiriko. Fanya kazi uboreshe maisha yako sio kuonea wivu wanaume wenzio.
 
Unyamwezini Tabora huwa ni mahali pa pekee sana katika siasa za Tanzania.

Huko Unyamwezini (Tabora) iko hivi, mtu yoyote akigombea ubunge akiwahonga wapiga debe kadhaa, basi lazima apate uongozi.

Mikoa mingine hauchaguliwi kama wewe siyo kabila la mkoa huo.
Kazaliwa na kukulia pale, huwezi kusema si mwenzao

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom