TANZIA Mbunge wa Jimbo la Konde Zanzibar, Khatib Haji afariki Dunia

Nini Tena matatizo ya upumuaji yamerudi Tena?
 
Pole kwa familia yake na wa-Zanzibar kwa ujumla.

Zitto amekuwa mnafki na amekuwa kama tissue ya CCM, ni ngumu kumpa pole Zitto, labda watu wengine. Ndiye anachangia kuua upinzani Tanzania na kuendelea kuongozwa kimabavu.
we mbwa kama upinzani unaokufa ni huu wa chama cha ukoo/chadema ufe hata leo. we want upinzani but genuine upinzani sio huo utopolo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…