mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Tumbo kwanza mengine badayeMaslahi ya Taifa kwanza.
Wanasiasa wote wanafki
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbo kwanza mengine badayeMaslahi ya Taifa kwanza.
Kuunga mkono nini? na kwann wasiende vyama vingine kama Tlp na CCj ili tujue hawajanunuliwa huuu ni ufisadi wa kijinga at excited state tumechoka hela hakuna alaf watu wanatumia hovyoTumeshawaambia chadema siku nyingi, hizo siasa za kupinga kila kitu siyo za kistaarabu na haziwezi kuwasaidia chochote. Matokeo yake ndo haya wabunge wanajiondoa ili kuepuka kuonekana ni wasaliti kwa chama kwa kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ili kuleta mabadiliko nchini. Usingizi wa siasa za chuki za #lissumsaliti zitawamaliza.
shida ipo mkuu, tunaingia gharama ambazo hatukuzipangaShida iko wapi
ahahahaaaa . . . .JF raha aseeZile punda zilizokuja 2015 zinarud zilipo toka
fact sana mkuu. Mimi nadhani tuna gap kubwa sana katika kuwatengeneza viongozi wetu kama taifaSiasa bana..
Mbunge / anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti vilevile
very true ideaUsije ukamuamini mwanasiasa hata siku moja yani hata kama akikwambia usiku mwema we toka nje kahakikishe kama kweli kuna giza
very great idea. Mimi nadhani hiyo ndo fact number moja kwa CHADEMA kwa sasa.Chadema wanatakiwa kufanya marekebisho sio kudanganya watu kua kila anaehama kanunuliwa
Nenda mahakamani usiishi kwa majunguWewe ni mtu wa ajabu sana. Hivi hujui kuchafua uchaguzi halali ni kosa?? Kwa sheria hiyo hiyo ya kuuchafua uchaguzi huru na wa haki.
Hiyo fedha wangelikuwa wanatozwa ili kuufanya uchaguzi mardio nadhani wangeshika adabu yao
hapana sijamaanisha ivyo, nimemaanisha yanayotokea ni tofauti na mahitaji ya wananchi waliowachaguaKazi tunayo! Yaani hayo ndiyo yakufurahishayo?
Mengi tuPesa za uchaguzi wa marudio ungejenga madarasa mangapi
Nenda na mamilioni uliyopewa, wananchi bado wao wanataka mabadiliko na katiba mpya.Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.
======
UPDATES; 00:15HRS
View attachment 823188
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Monduli kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Mhe. Julius Kalanga amejiuzulu na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM muda huu kwa kile alichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi Rais Magufuli. Amepokelewa na katibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole.
Siasa za uhasama, malumbano na chuki zimeniondoa CHADEMA. Nimeamua kuiunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa maslahi ya taifa... Kwa sababu huwezi kufanya hivyo ukiwa upande wa pili, lazima utaonekana msaliti tu... Wana Monduli naombeni mnielewe, nitakuja kuzungunza nanyi," Julius Kalanga Laizer, aliyekuwa Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CHADEMA.
Julius Kalanga aliwahi kuwa diwani kupitia CCM, kabla ya kuhamia Chadema 2015
Assumption! Hapo ndo tujiulize ubora wa akili ya watu walioko huko Bungeni. Je, wanajifahamu? HAta kama kuna pesa inatumika, ni lazima ukubali kila kitendo kwa sababu ya pesa? Hakuna sababu ya kuwalaani changudoa.Hahahahahaha jiwe na polepole mnaweza chezea pesa ya wanamchi kulazimishwa kipendwa wakati huohuo mnazuia uchaguzi usiwe huru