NISAIDIE NAMBA ZAKE MZEEE NIJIKWAMUEUna cheo?? Basi usimtafute dalali. Muone tu pole2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NISAIDIE NAMBA ZAKE MZEEE NIJIKWAMUEUna cheo?? Basi usimtafute dalali. Muone tu pole2
NISAIDIE NAMBA ZAKE MZEEE NIJIKWAMUE
Tudhibiti demokrasia?Naomba tudhibit hii hama hama ya wabunge
democrasia iwe na mipaka hiii sasa ni kuikufuru democrasiaTudhibiti demokrasia?
Kwa mfano tufanye nini ili kuweka hiyo mipaka ya hii demokrasia ya uhuru wa kuamua mtu anavyopenda?democrasia iwe na mipaka hiii sasa ni kuikufuru democrasia
Kamanda, una mifano ya wabunge waliofanya cha maana kwenye maji mbona yao?Huyu mbunge sijaona alichofanya monduli. Nimekaa monduli 3 years hamna kitu alichofanya.kila kitu hovyo. Watu wamejaa majungu tu hamna kipya.hata asingehama chadema 2020 asingepata ubunge.bure kabisa.
mtu asihame hame zaid ya mara moja ndani ya 10 yrs alaf ukihama chama no haki ya kugombeaKwa mfano tufanye nini ili kuweka hiyo mipaka ya hii demokrasia ya uhuru wa kuamua mtu anavyopenda?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna haja ya wanazuoni wa kimataifa si hawa wa bongo kuja kuitafiti aina mpya ya siasa tunayoiendesha hapa tz ni kwa faida ya vizazi vijavyo..lakini tanzania ni ya pili kwa vivutio vya utalii duniani si mbaya kuongeza utalii wa siasa pia
Zipi?Viongozi wa upinzani hasa Chadema wanajisahau kuwa wao sio sawa na mwenyekiti wa CCM.
Mwenyekiti wa CCM na wale wa vyama vya upinzani ni kama mbingu na ardhi.
Mwenyekiti wa CCM akiwalazimisha wanachama wake kupigia kura bajeti analenga kutimiza malengo ya serikali yake.
Lakini wale wapinzani kila mwaka wanalazimishwa kupinga bajeti bila kutuambia wanataka ipitishwe ipi ?
Yani wanataka nchi isiwe na bajeti au wanataka nini na uchache wao?
Mwenyekiti wa Chadema akimbana Mwanachama wake wakati mwingine mtu anaona isiwe tabu naweka maisha yangu rehani halafu bado nabughudhiwa na kutishwa tishwa na mtu asiye na teuzi zaidi ya viti maalum.
Mwenyekiti wa CCM akimtishia mtu ujue kweli mtu anapata tabu sana mana fursa zote za nchi hii zipo mikoni mwake. Sasa mwenyekiti wa Chadama ana nini cha kumtishia mtu mpaka mtu aufyate?
Mbowe ajaribu sasa kusikiliza watu wa maeneo mengine nje ya wale wa waliomzunguka ambao wanaangalia maslahi yao kwanza.
Vinginevyo chama kitapukutika kabisa.
Watanzania hawana uelewa huo wanaoufikiria wapinzani.
Wengi wanaamini kuwa juhudi za Mh. Rais zinavunja nguvu ya vyama vya upinzani. Watapinzani wamejisaha kabisa.
Ngoja wabunge wao waishe ili wajipange upya.
Wananchi wenyewe wameridhika tena wanashangilia kama ushabiki wa simba na Yanga. Wewe mwenye akili zako ndiyo unafikiria kuchukua hatua ipi?Hatua gani..!?
Elimu ndo tatizo hapa Tanzania..wengi hawajielewi..!Wananchi wenyewe wameridhika tena wanashangilia kama ushabiki wa simba na Yanga. Wewe mwenye akili zako ndiyo unafikiria kuchukua hatua ipi?
Wenzako kwanza wanafikiri budjet yote ni pesa ya Magufuli anatoa mfukoni kwake ndiyo maana kila mtu akiwa ma shida anaomba muheshimiwa raisi amsaidie.
Ahante ndege wenzio wanajua ni pesa ya Magufuli kutoka mfukoni kwake. Sasa watu kama hao kuwashauri inawezekana kweli?