Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Kuunga mkono nini? na kwann wasiende vyama vingine kama Tlp na CCj ili tujue hawajanunuliwa huuu ni ufisadi wa kijinga at excited state tumechoka hela hakuna alaf watu wanatumia hovyo
 
hameni tena hameni na rafiki zenu mpaka majirani
jioni ikifika kila kuku hurudi kwenye makazi aliyoyazoea sasa naona muda ndo huu
mwisho Wa cku kila mtu atarudi ktk nafasi aliyoizoea
 
fact sana mkuu. Mimi nadhani tuna gap kubwa sana katika kuwatengeneza viongozi wetu kama taifa
 
Chadema wanatakiwa kufanya marekebisho sio kudanganya watu kua kila anaehama kanunuliwa
very great idea. Mimi nadhani hiyo ndo fact number moja kwa CHADEMA kwa sasa.
Restructuring ya chama ni muhimu kwa sasa na sio kukimbia na media na kusema watu wamenunuliwa.
Hivi wakiondoka wabunge 20 kwa awamu hii moja tu watakuwa wamenunuliwa wote?

Just thinking loud
 
Wewe ni mtu wa ajabu sana. Hivi hujui kuchafua uchaguzi halali ni kosa?? Kwa sheria hiyo hiyo ya kuuchafua uchaguzi huru na wa haki.
Hiyo fedha wangelikuwa wanatozwa ili kuufanya uchaguzi mardio nadhani wangeshika adabu yao
Nenda mahakamani usiishi kwa majungu
 
Kwa mwendo huu, na viongozi wa namna hii, nasema Ulaya, Amerika na Asia...wakisema wasimame walipofikia kimaendeleo watusubiri sisi tu hata tukipewa miaka 1000+ hatutawafikia ng'o
 
Naona tunarud kwenye Zle kula za ndiyo au hapana..NAHISI NDIYO WAMESHINDA
 
Huyo ameondoka kwa maslahi binafsi mnafiki huyo
 
Nenda na mamilioni uliyopewa, wananchi bado wao wanataka mabadiliko na katiba mpya.
 
Unapijiona huenei popote hata pale ulipo dawa yake ondoka kimyakimya achana na visingizio,kumbuka kuna maisha baada ya leo(kesho ipo na ina mambo yake pia)
 
Hahahahahaha jiwe na polepole mnaweza chezea pesa ya wanamchi kulazimishwa kipendwa wakati huohuo mnazuia uchaguzi usiwe huru
Assumption! Hapo ndo tujiulize ubora wa akili ya watu walioko huko Bungeni. Je, wanajifahamu? HAta kama kuna pesa inatumika, ni lazima ukubali kila kitendo kwa sababu ya pesa? Hakuna sababu ya kuwalaani changudoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…