Mbunge wa Kahama Mjini ashauri Vyuo Vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili Wanafunzi

Unajua kuna watu, wamewasikia tayari wapi bungeni Hawa watu wakina msuk na kishimba lkn ni maharamia, mafisadi wakubwa pengine Bila hao wasomi kuwasaidia kwenye biashara zao wasingekuwa hapo walipo, wasomi wenyewe wamewafikisha bungeni kwa kuwasoma washindi wa matokeo ya uchaguzi kumbe walishindwa, mtu anao kubali hoja zao ni mjinga kama wao lkn kama umesoma unawapotezea tu
 
Elimu inahitaji marekebisho makubwa sana@ haliwezekani mtu ana bachelor ya economics, lakini bado mia tano ya vocha inampiga chenga mpaka apige mzinga kwa mdogo wake aliyemaliza la Saba tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
He has a point...Vyuo vikuu vikiacha ukiritimba na kuwajibika kutengeneza ajira ni kazi rahisi sana...Tatizo vyuo vikuu vyetu havipo integrated na mifumo ya governance na wala ile sector binafsi yet wao ndiyo walitakiwa kuwa washauri wa kwanza kwa nchi...Mambo ya kuteuana na kudhani aliyeteuliwa ndiye anapaswa kushauri yanatupoteza sana...Watu hao wachache ambao kwa nafasi zao wanaona wanaweza kutoa ushauri ni udanganyifu wa hali ya juu...Vyuo vikuu viliwekwa ili viweze kutoa elimu na mwelekeo wa nchi kuanzia serikali hadi raia wa kawaida...University ina mission tatu 1. Academics ambayo inahusu knowledge 2. Consultancy ambayo ndiyo ushauri 3. Outreach ndiyo kueneza hiyo knowledge na ushauri katika ngazi ya utendaji...Unashangaa hata kule kwenye baraza la wafanyabiashara hakuna ma professor wanaolishauri...Huyo Professor apeleke sasa ushauri wake wapi na vipi?

Mifumo yetu inatuangusha sana na kusababisha lawama zirudi kwa watu waliofungwa gerezani na mifumo mibaya inayo endekeza competitions for survival badala ya ku produce to meet the basics and in surplus
 
wewe umesoma English medium ila uka fail form four.
 
Una hoja ya maana..kishimba pia ana hoja Ila tatizo linakuja pale mtu anapo anapoongea ukweli,tena kuwasema wasomi
Huwa wanakushukia Kama mwewe
 
Huu ni ukweli
 
Mwenyewe na mkubali.....alihoji.majuzi Kama Kampuni za Simu.Zina mkopesha Pesa mtu zisiye mufahamu hata kwa sura,kwanini Serikali inasumbua raia wake kupata mikopo ,mfn.Bodi ya mikopo ya elimu,mabenki nk?!Si bora kuacha kusoma sasa?!!!!
Bado kuna mtu atakwambia eti hujasoma,sasa wewe uliesoma umetusaidia nini cha maana?
 
Elimu inahitaji marekebisho makubwa sana@ haliwezekani mtu ana bachelor ya economics, lakini bado mia tano ya vocha inampiga chenga mpaka apige mzinga kwa mdogo wake aliyemaliza la Saba tu.
Fani ya economics inahusika vipi kutafuta jero?
 
Una hoja ya maana..kishimba pia ana hoja Ila tatizo linakuja pale mtu anapo anapoongea ukweli,tena kuwasema wasomi
Huwa wanakushukia Kama mwewe
Wanaukataa ukweli hii ina maana mvutano hautaisha
 
Wanaukataa ukweli hii ina maana mvutano hautaisha
Nilipoona huu Uzi utakuwa 'simulizi isiyoisha' nikaacha kuwajibu walionipinga
Uzi umekaa ki parallel lines hautafika mwisho wa conclusion..kila mmoja aamini anachoamini[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…