Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes ni yeye, na mwenyekiti wa bunge (A. Chenge) alimtania 'profesa Kishimba' wakati akihitimisha mchango ule.Kama kumbukumbu zangu zipo sawa huyu Mbunge aliwahi kuomba sheria ya wazazi kuwashitaki watoto wasipowatumia fedha
Sijamsikia alivyo wasilisha, ila uko sahihi. Kwenye Security tunasema 'It takes a thief to catch a thief' ndio maana tunajifunza 'ethical crimes'.Ana hoja ya Msingi lakin kashindwa tu kui frame vizuri
Utawezaje kupambana na tatizo ambalo hulijui?
Mf. Kwenye Course za upelelezi siku zote unafundishwa namna mbali mbali na mbinu za kufanya uhalifu na kuficha uhalifu halaf unafundishwa technique za kutambua
Yaap, huyo huyo.Hivi Kishimba huyu ni yule wa Imaraseko super Market?
Mbona kwenye kuchwa chake hizo ni point?Huyu mbunge toka nimeanza kumjua hajawahi ongea point kamwe.anyway Ni haki yake kutoa maoni.wako wabunge wako bungeni wanakula posho Na kodi zetu bure tu
Hii kidogo ilikuwa na uzito, hii ya sasa sjui!!😂Kama kumbukumbu zangu zipo sawa huyu Mbunge aliwahi kuomba sheria ya wazazi kuwashitaki watoto wasipowatumia fedha
Huyu si ndiyo alikuwa na meli yake ya mizigo ikaungua ziwani?Jamaa alikuwa dereva wa lori Scania la Mizigo la SHIRECU , halafu akaiba nadhani ngano aliyokuwa akisafirisha kutoka Dar kwenda Shinyanga kwa kuangusha gari Singinda na kuuza ngano yote katika utaratibu ambao haukuacha trace yoyote ya ushahidi. Baada ya hapo akaacha udereva na kuanza biashara ya kusaga nafaka na usafirishaji mizigo; baadaye akawa tajiri wa kutupwa na kuanza kumiki mali zote zilozokuwa za KADECO wakati wa miaka ya themanini. Kuna mantiki ya step tatu katika ushauri huu: iba-usishikwe-rudisiha kwa jamii. Jamaa ameisadia sana Kahama kuliko enzi hizo za KADECO.
kama CCM kitaendelea kuwa madarakani nchi hii haiwezi kuendelea kamwe, uwezo wao kiutendaji, kiutekelezaji, kimipango ni sifuri. yaani wamekosa kabisa vision & mission ya kuiendeleza nchi hii.
Sijui; kumbukumbu niliyotoa ni ya zaidi ya miaka 30 iliyopita, inaweza kuwa sahihi au sivyo kwa vile kama nilivyosema haikuacha trace zozote za ushahidi physical bali ilikuwa ni circumstantial tu ambayo ikawa ngumu kufuatilia kutokana na matukio mengine yaliyohusu uongozi wa Shirecu wakati huo. Usimhukumu kwa taarifa hiiHuyu si ndiyo alikuwa na meli yake ya mizigo ikaungua ziwani?