Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #41
Nimekuelewa mkuu
Sijui; kumbukumbu niliyotoa ni ya zaidi ya miaka 30 iliyopita, inaweza kuwa sahihi au sivyo kwa vile kama nilivyosema haikuacha trace zozote za ushahidi physical bali ilikuwa ni circumstantial tu ambayo ikawa ngumu kufuatilia kutokana na matukio mengine yaliyohusu uongozi wa Shirecu wakati huo. Usimhukumu kwa taarifa hii