Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

Uwezekano huo ni mkubwa sana
Mnoo c ulisikia yule nchambi?? Bunduki 16 , 10 anazimiliki kinyume na sheria...na kikianzishwa hicho chuo watakao fauli vzr na makada wa ccm maana ni wezi toka kwenye matumbo ya mama zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CCM bhana wameshiba wanabakia kujamba tu
Mh.Kishimba anatakiwa kufahamu kuwa hapa Tanzania chuo kuna Chuo hicho,huko wanatoa taaluma ya wizi kwa ngazi ya cheti,stahahada,astashahada ,digrii za kawaida,masters, uzamili,uzamivu hadi maprofesa wanahitimu.Chuo hicho hats yeye ni mwanafunzi/mhitimu ila hajajitambua kuwa anasoma.
Fumbo hili akilifumbua atajitambua na tunatarajia atabadilika na kutafuta elimu bora.Ameingia cha...
 
Ndiyo wabunge wanao hitajika kwa sasa maana hawana hoja za kujenga
Wanapita bila kupingwa na kushinda kwa kishindo kwenda kuongea...wao Bungeni.Hii ndiyo Tanzania tuanayoitaka na tumepewa na CCM kwa gharama ya kodi zetu.
 
Kama kweli adhabu ya Mungu ipo sina shaka ccm watapata sana mateso mbele ya Mungu
Wanapita bila kupingwa na kushinda kwa kishindo kwenda kuongea...wao Bungeni.Hii ndiyo Tanzania tuanayoitaka na tumepewa na CCM kwa gharama ya kodi zetu.
 
[emoji111]
Mnoo c ulisikia yule nchambi?? Bunduki 16 , 10 anazimiliki kinyume na sheria...na kikianzishwa hicho chuo watakao fauli vzr na makada wa ccm maana ni wezi toka kwenye matumbo ya mama zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bhayolanga bhosambo gete bhabehi??eyo kishimba angalelagaee dogopola mishishi gete lekaga enyatumbaf yako wipange!!!#AMAENDELEO GADE NA CHAMA
 
Huyu mbunge toka nimeanza kumjua hajawahi ongea point kamwe. Anyway ni haki yake kutoa maoni wako wabunge wako bungeni wanakula posho na kodi zetu bure tu
Mtoa mada amepotosha umma. Mbunge alikuwa anataka kianzishe chuo cha watumishi wa umma kupambana na wezi wa mali ya umma.
Chadedema imejaa mijitu ambayo haina akili. Mabichwa maji.
 
Duh..........
 
Bhayolanga bhosambo gete bhabehi??eyo kishimba angalelagaee dogopola mishishi gete lekaga enyatumbaf yako wipange!!!#AMAENDELEO GADE NA CHAMA
Chuo cha uwizi utafundishwa mpk jinsi ya kujilinda usipigwe

Ova
Your browser is not able to display this video.


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli Kishimba ana point katika mchango wake ila hajaiwasilisha kitaalam!! Ili kuwa kamata wezi ni lazima kujua mbinu wanazozitumia kuiba ndio maana nchi zilizoendea wakiwakamata kwa mfano wezi wa mitandaoni huwa hawafungi kwa muda Mrefu kwa makubaliano kuwa wataeleza mbinu zao wanazotumia ili zitumike kuwanasa wezi wengine. Sasa kwa Kishimba hiyo ndio shule ya wezi!!
 
Nahisi umeshindwa kuelewa logic ya Mh. Mbunge.
 
Wabunge wa ccm ninyumbu
Umeshindwa kuelewa alimaanisha nini. Kabla ya kulaumu ungeelewa kwanza. CIA na FBI inapowakamata wahalifu waliowasumbua sana kwenye uchunguzi wao huishia kuwaajiri ili wawafundishe mbinu zao za uhalifu waweze kuthibiti wengine. Au kwakuwa wao ni wazungu ni sawa ila kwa Watanzania ni nongwa?
 
Shindogo lyo lako lyajaja kama jisamvu za majole,
Nyanoko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…