Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

😅😅😅,sasa si watatumia mbinu walizofundishwa kujinufaisha wao, halafu wataziboresha zaidi ili kuwapoteza kabisa watakao wafuatilia.
 
Ukiushughulisha zaidi ubongo wako ndipo utaona kaongea point. Alichokuwa anajaribu kusema kwa namna nyingine ya moja kwa moja ili kila mtu aelewe haraka ni kwamba; serikali inapaswa kuajiri watu smart na pia kuwapelela katika mafunzo ya mara kwa mara.

Mafunzo hayo yahusishe pamoja na mambo mengine jinai, mazingra ya jinai, mikakati, mitego, kubashiri jinai n.k. Nafikiri kitu kinachomshinda muwasilisha mada labda ni namna anayoitumia kuelezea au kutoa maoni yake. lakini point anayo.
 
Kwa kizazi hiki bado hatujamuona mbunge wa ccm akaipinga serikali, labda marehemu Filikunjombe aliweza kidogo
Tukiacha kumjadili huyu Mbunge na kuchambua falsafa ya anachoshauri utaona huwa anapinga watawala kwa staili mpya na kupendekeza solutions kwa shadow effect. Tujadili inakuwaje mpaka RPC anajiibia au judge anajihukumu!?
 
Hapo atakaye kuwa vizuri darasani ndiye atakuwa anashinda mpambano
[emoji28][emoji28][emoji28],sasa si watatumia mbinu walizofundishwa kujinufaisha wao, halafu wataziboresha zaidi ili kuwapoteza kabisa watakao wafuatilia.
 
Mkuu unataka kutuaminisha kuwa hadi karne hii bado kama taifa hatuna Ant fraud?
It's a question of language interpretation! Ametumia lugha ya wizi lakini kinachoitwa antifraud ni kile kile. Wahasibu wakifundishwa kwa makini juu ya antifraud wanajitambua wanavyobiwa au wakaguzi watajua wahasibu wanavyoiba.
 
Mkuu unataka kutuaminisha kuwa hadi karne hii bado kama taifa hatuna Ant fraud?
Ipo, lakini iko kwenye mfumo wa uchunguzi wa makosa na siyo ktk mfumo wa kawaida wa ukaguzi.
 
Akifikia hatua ya kuiomba serikali ianzishe kilimo cha bangi mnishtue. Huenda nikapata ajira ya Plantation manager [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Alisha omba waziri husika kuwa kilimo cha bange kiruhusiwe hivyo mkuu jiandae
Akifikia hatua ya kuiomba serikali ianzishe kilimo cha bangi mnishtue. Huenda nikapata ajira ya Plantation manager [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Huyu mbunge anaongea madini Sana sema inahitaji umakini kumuelewa,unaweza kuhisi vituko kumbe anamaana Sana katika pointi zake
 
Yupo sahihi ila si kwa serikali kuanzisha elimu ya wizi. Hata wazungu wanaamini mwizi humkamata mwizi mwenzie.

"Send a thief to catch a thief".
Mtume mwizi akamate mwizi mwenzie/ Mtume Malaya akamkamate Malaya mwenzie.
 
I think ana mtazamo wa tofauti ila kashindwa tu kufikisha ujumbe ipasavyo...cjajua kwann wana jf wengi wanamuona mpuuzi
But angesema chuo cha cyber crimes kianzishwe ingependeza sana tungepata ma hackers wengi wangeisaidia serikali na matukio mengi ya wizi wa mtandao
 


Mbunge wa Kahama Mjini kupitia CCM Jumanne Kishimba, ameiomba Serikali ifungue chuo cha wizi kwa kuwa matukio ya wizi katika sekta za umma na Halmashauri nyingi umeshamiri kwa kiasi kikubwa na kwamba chuo hicho kitasaidia wale watu wanaoenda kuchunguza wezi, kuzijua mbinu zao na kuwabaini.

Hayo ameyabainisha leo Mei 28, 2020, Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa 19, kikao cha 39, wakati wa uchangiaji wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Huduma za Serikali za Mitaa, na kueleza kuwa ni vyema chuo hicho kikawekwa japo kwa kutumia jina lingine ili kukomesha suala hilo.

"CAG na Waziri wa Fedha yuko hapa hawa vijana wanaoajiriwa lazima wanatoka shule inayofundisha maadili mema na uaminifu, sasa wanaenda kupambana na wizi wengine wamesoma Seminari, kwanini serikali haifikirii sasa kuanzisha chuo cha wizi, kwa maana mtu anapochaguliwa kwa sifa ya uaminifu kwenda kupambana na wezi anaenda kupambana nao namna gani? afadhali apite kwenye chuo hicho kwa miezi mitatu ili ajue akili ya wizi, hawa vijana wetu tutawamalizia magerezani na hali ya wizi ni mbaya sana" amesema Mbunge Kishimba.

Credit: EATV

Mwaka jana, Kishimba alitaka kilimo cha bangi kihalalishwe nchini Tanzania Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania

Maoni Yangu
Kumbukeni huyo mbunge alishawahi kuomba Serikali iruhusu bangi itumike kihalali.

Daaaa hao ndiyo wabunge wetu ambao ni watunga sheria na wapitisha miswaada na mikataba mbali mbali.

Kama taifa bado tuna safari ndefu.
Unatakiwa kuwa na akili ya hali ya juu kumuelewa Mhe. huyu. Huyu Mhe. pamoja na kujiita darasa la saba mimi namuona kama kahitimu PhD!
 
Unatakiwa kuwa na akili ya hali ya juu kumuelewa Mhe. huyu. Huyu Mhe. pamoja na kujiita darasa la saba mimi namuona kama kahitimu PhD!
Duuuh wee jamaa acha kujifanya hamnazo bhana...wp duniani serikali iliwahi kuwa na chuo cha uharifu???ccm mna nn jamani???
 
Back
Top Bottom