kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Ni aibu sana, mwishowe watajenga na chuo cha kufundishia umbeya na udangajiMataga wa lumumba hapa jf wanapongeza sana hiyo kauli ya Kishimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni aibu sana, mwishowe watajenga na chuo cha kufundishia umbeya na udangajiMataga wa lumumba hapa jf wanapongeza sana hiyo kauli ya Kishimba
Ukiwa na chapa hizo Mambo hazikuhusu.Hivi yule fisadi mkata mauno aliyetumbuliwa na mkulu vipi alisha fikishwa mahakamani?
Mbunge wa Kahama Mjini kupitia CCM Jumanne Kishimba, ameiomba Serikali ifungue chuo cha wizi kwa kuwa matukio ya wizi katika sekta za umma na Halmashauri nyingi umeshamiri kwa kiasi kikubwa na kwamba chuo hicho kitasaidia wale watu wanaoenda kuchunguza wezi, kuzijua mbinu zao na kuwabaini.
Hayo ameyabainisha leo Mei 28, 2020, Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa 19, kikao cha 39, wakati wa uchangiaji wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Huduma za Serikali za Mitaa, na kueleza kuwa ni vyema chuo hicho kikawekwa japo kwa kutumia jina lingine ili kukomesha suala hilo.
"CAG na Waziri wa Fedha yuko hapa hawa vijana wanaoajiriwa lazima wanatoka shule inayofundisha maadili mema na uaminifu, sasa wanaenda kupambana na wizi wengine wamesoma Seminari, kwanini serikali haifikirii sasa kuanzisha chuo cha wizi, kwa maana mtu anapochaguliwa kwa sifa ya uaminifu kwenda kupambana na wezi anaenda kupambana nao namna gani? afadhali apite kwenye chuo hicho kwa miezi mitatu ili ajue akili ya wizi, hawa vijana wetu tutawamalizia magerezani na hali ya wizi ni mbaya sana" amesema Mbunge Kishimba.
Credit: EATV
Mwaka jana, Kishimba alitaka kilimo cha bangi kihalalishwe nchini Tanzania Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania
Maoni Yangu
Kumbukeni huyo mbunge alishawahi kuomba Serikali iruhusu bangi itumike kihalali.
Daaaa hao ndiyo wabunge wetu ambao ni watunga sheria na wapitisha miswaada na mikataba mbali mbali.
Kama taifa bado tuna safari ndefu.
Kwahiyo polisi wanavyo kamata waarifu na wao ni wezi??Kwa bahati mbaya hukumuelewa! Alitaka kusema kuwa kuwepo na mtaala unaoelezea jinsi wizi unavyotamalaki ikiwa na jinsi ya kumkamata Mwizi . Ili wahitimu wetu wakifika kazini wataweza kugundua mapema wezi. Kuna usemi wa kiswahili usemao kuwa Mwizi hushikwa na mwizi mwenzie.
Acha kukurupuka soma andiko ndipo uulize swali siyo jibuKwahiyo polisi wanavyo kamata waarifu na wao ni wezi??
Usini quote in negative sense, ni kuwa nimependa the approach nothing elseYawezekana hujaielewa na kupitia maandishi yako mafupi nimepata maana pana kuhusu wewe na unachokiamini hii ndio tofauti ya mtu aliyesoma philosophy na ambaye hakusoma
Hahahahaa, itabidi atumie elimu yke kujikimu mkuuNawaza siku huyo mtu atakapoikosa ajira huku akiwa amefuzu mafunzo ya wizi na kufaulu kwa kiwango cha juu.
Wajuzi wa mambo haya tusaidieni
sureUbunge ni cheo tu... akili kila mtu ana zake!
Huu ndio ushuhuda wa kina nani tunawapeleka bungeni, so disappointingDaaaa hao ndiyo wabunge wetu ambao ni watunga sheria na wapitisha miswaada na mikataba mbali mbali.
Mbunge wa Kahama Mjini kupitia CCM Jumanne Kishimba, ameiomba Serikali ifungue chuo cha wizi kwa kuwa matukio ya wizi katika sekta za umma na Halmashauri nyingi umeshamiri kwa kiasi kikubwa na kwamba chuo hicho kitasaidia wale watu wanaoenda kuchunguza wezi, kuzijua mbinu zao na kuwabaini.
Hayo ameyabainisha leo Mei 28, 2020, Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa 19, kikao cha 39, wakati wa uchangiaji wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Huduma za Serikali za Mitaa, na kueleza kuwa ni vyema chuo hicho kikawekwa japo kwa kutumia jina lingine ili kukomesha suala hilo.
"CAG na Waziri wa Fedha yuko hapa hawa vijana wanaoajiriwa lazima wanatoka shule inayofundisha maadili mema na uaminifu, sasa wanaenda kupambana na wizi wengine wamesoma Seminari, kwanini serikali haifikirii sasa kuanzisha chuo cha wizi, kwa maana mtu anapochaguliwa kwa sifa ya uaminifu kwenda kupambana na wezi anaenda kupambana nao namna gani? afadhali apite kwenye chuo hicho kwa miezi mitatu ili ajue akili ya wizi, hawa vijana wetu tutawamalizia magerezani na hali ya wizi ni mbaya sana" amesema Mbunge Kishimba.
Credit: EATV
Mwaka jana, Kishimba alitaka kilimo cha bangi kihalalishwe nchini Tanzania Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania
Maoni Yangu
Kumbukeni huyo mbunge alishawahi kuomba Serikali iruhusu bangi itumike kihalali.
Daaaa hao ndiyo wabunge wetu ambao ni watunga sheria na wapitisha miswaada na mikataba mbali mbali.
Kama taifa bado tuna safari ndefu.