Mbunge wa Kahama mjini ndugu Kishimba ahudhuria mkutano wa Tundu Lissu (CHADEMA) uliofanyika kata ya Isaka

Mbunge wa Kahama mjini ndugu Kishimba ahudhuria mkutano wa Tundu Lissu (CHADEMA) uliofanyika kata ya Isaka

View attachment 2730559
Ni ajabu lakini ni kweli.

Huyu umwonaye hapo ☝️☝️juu ni mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini maarufu kama Prof. Ramadhani Kishimba...

Leo amekuwa miongoni mwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa mwisho siku ya leo wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndugu Tundu Lissu katika OPERESHENI +255 KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU..

Mkutano huo ndo tu umemalizika muda si mrefu katika kata ya Isaka - Kahama ilipo bandari kavu (dry port ya Isaka iliyo chini ya TPA) ambayo nayo ni miongoni mwa walizopewa DP World..

Pamoja na uwepo wake pale, Tundu Lissu hakumkopesha hata kidogo kuhusu ushiriki wake wa kupitisha mkataba wa ugawaji wa bandari za Tanganyika Kwa waarabu wa Dubai kupitia kampuni yao ya DP World..

Video nzima ya hotuba hiyo itakujia si muda mrefu🙏
J4 hanaga neno bungeni anatoa point san sema ndo analazimika kupiga meza makofi maana chama ndio kinamtaka afanye hivyo!!
 
Toka lini ukawa na akili ndio maana magufuli alisema wewe ni njaa kisukuma nzala au nhubha.
1. Kwanza sio Msukuma OG hivyo hajui...
2. Mayalla sio njaa ya nzala, ni baa la njaa ya ukame, drought, famine!.
3. Akili has got nothing to do with njaa!.
P
 
Sii kweli DPW hawajapewa Bandari hata moja1. Watapewa gati 3 tuu za container terminals za Bandari ya Dar

Asante kwa taarifa hii, tunasubiria video
kuona ni kuamini!.
P
Ww hamna kitu bro, ww ni namba ya kupoteza. Unacheza na upepo wala huna unachosimamia.
 
View attachment 2730559
Ni ajabu lakini ni kweli.

Huyu umwonaye hapo ☝️☝️juu ni mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini maarufu kama Prof. Ramadhani Kishimba...

Leo amekuwa miongoni mwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa mwisho siku ya leo wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndugu Tundu Lissu katika OPERESHENI +255 KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU..

Mkutano huo ndo tu umemalizika muda si mrefu katika kata ya Isaka - Kahama ilipo bandari kavu (dry port ya Isaka iliyo chini ya TPA) ambayo nayo ni miongoni mwa walizopewa DP World..

Pamoja na uwepo wake pale, Tundu Lissu hakumkopesha hata kidogo kuhusu ushiriki wake wa kupitisha mkataba wa ugawaji wa bandari za Tanganyika Kwa waarabu wa Dubai kupitia kampuni yao ya DP World..

Video nzima ya hotuba hiyo itakujia si muda mrefu🙏
Weka pc
 
View attachment 2730559
Ni ajabu lakini ni kweli.

Huyu umwonaye hapo ☝️☝️juu ni mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini maarufu kama Prof. Ramadhani Kishimba...

Leo amekuwa miongoni mwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa mwisho siku ya leo wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ndugu Tundu Lissu katika OPERESHENI +255 KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU..

Mkutano huo ndo tu umemalizika muda si mrefu katika kata ya Isaka - Kahama ilipo bandari kavu (dry port ya Isaka iliyo chini ya TPA) ambayo nayo ni miongoni mwa walizopewa DP World..

Pamoja na uwepo wake pale, Tundu Lissu hakumkopesha hata kidogo kuhusu ushiriki wake wa kupitisha mkataba wa ugawaji wa bandari za Tanganyika Kwa waarabu wa Dubai kupitia kampuni yao ya DP World..

Video nzima ya hotuba hiyo itakujia si muda mrefu🙏
Na alikuwa anatikisa kichwa kwa hoja alizokuwa anashuka nazo TL kuashiria kuwa anakubaliana naye
 
Wengi wanaikubali CHADEMA cheki tabasamu la mtanzania ambaye ni Dar es Salaam Special Zone RPC, ACP Jumanne Muliro akifuatilia nondo za ukweli. Siasa siyo uadui bali ni kukubaliana na hoja sahihi au kukubaliana kutofautiana bila kuweka uadui.

1693165731618.png
 
Kuhudhuria mikutano wa siasa sio kosa.Ndio demokrasia yenyewe🤣🤣🪑
Hakuna aliyesema ni kosa. Hata Mimi sijasema kuwa ni kosa..

Nilichosema mimi ni hiki "NI AJABU NA KWELI" kuwa mbunge wa CCM badala kuwa kwenye mikutano ya chama chake kama yule wa Geita Vijijini aitwaye Kasheku Msukuma kutetea mkataba wa bandari, ameamua kuja kusikiliza nondo za Tundu Lissu na CHADEMA kupata elimu ya Uraia na kisheria kuhusu mkataba wa bandari..
 
Back
Top Bottom