Mkuu ungetuwekea na ka VIDEO KIDOGO...maana nyie kwa MAJUNGU HAMJAMBOKatika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani
Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.
Video ikipatikana utamwambia ajiuzuru?Mkuu ungetuwekea na ka VIDEO KIDOGO...maana nyie kwa MAJUNGU HAMJAMBO
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani
Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.
Nape alisha lifanyia kazi kwa kukataa bunge lisiwe liveNajua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?
Hao wote ni wa mpitoWote walewale,alieuliza swali na aliyejibu,wananchi wa jimbo la Mtama na Karagwe wapime akili
Najua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?
Hao ni wabunge toka Cha Cha Mwendokasi, Chama Cha Majipu, Chama Cha MizigoSanamu ya diamond,sanamu ya push up waongeze na sanamu ya makonda akitafuta sukari hewa
tanzania bado hawajawa binadamu sawasawa.Sometimes i wonder if evolution process is over in Africa!!