Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machalli avamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana!

Mbunge wa Kasulu mjini Moses Machalli avamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana!

Agizo la Mheshimiwa Waziri Mkuu ndo limeanza kutekelezwa leo ni tena kwa wabunge sasa. Mimi kwa kweli naona Waziri mkuu amepotoka na kupotosha. Alichotengeneza ni kuchonganisha Raia na polisi kwa hiyo Raia wanajua polisi adui zao and vice versa sasa na raia wanaweza kuanza kujihami kila wakati dhidi ya police. Unajua Tatizo linatatuliwa kwa kuangalia root cause na kuitibu na siyo kudeal na Impact.
 
kama kauli ya waziri mkuu wetu kwa wananchi ndiyo ile niliyo ishuhudia

leo bungeni,kweli tuna macho lakini hatuoni,,, hata waziri mkuu wa uturuki ana jiamini kama huyu wa kwetu.wamesahau kuwa wenye nchi ni wananchi,ndio wenye misingi ya nchi.
 
Nakumbuka kuna kauli aliitoa bungeni hivi majuzi, baada ya Lukuvi kutoa taarifa ya yaliyotokea Arusha!! Alisema Mwema na Waziri wa mambo ya ndani wajiuzulu! Itakuwa imemgharimu!! Pole sana kamanda!?
 
Kwanini hawakumpiga PINDA NA LUKUVI? Plz wana Dom nitandikieni hao viumbe.
Mkuu utapata wapi huo mwanya yanalindwa hayo siunajua tena madharimu hawajiamini popote na ikumbukaga tu ile ya Udom kumteka pinda maspy wakampitsha vichakani
 
kama kauli ya waziri mkuu wetu kwa wananchi ndiyo ile niliyo ishuhudia <br>
<br>
leo bungeni,kweli tuna macho lakini hatuoni,,, hata waziri mkuu wa uturuki ana jiamini kama huyu wa kwetu.wamesahau kuwa wenye nchi ni wananchi,ndio wenye misingi ya nchi.
 
tanzania demokrasia bado ni changa sana...that is all
 
Bila shaka hayo ni yaleyale ya Liwalo na liwe ! But NOTHING LASTS LONGER ! NI MAMBO YA MUDA TU !
 
Tuanze na wenye mgogoro na bwana Machali ili tuweze kuwabaini mapema wahusika wa hilo tukio.

Kumbukumbu zangu; mchango wa mwisho wa bwana Machali bungeni ulikuwa ukiitaka serikali ichunguze suala la Arusha, na kama CHADEMA ikibainika imehusika basi kifutwe haraka sana.

Je, CHADEMA na kichapo alichopata Machali vina mahusiano?
 
Kadri maovu yanavyozidi ndio watawala wanajiongezea ulinzi wakijua ndio suluhisho kumbe hao walinzia ndio makaburi yao
 
Ngoja nisubiri habari kamili, siku hizi wapinzani roho mkononi!
 
live bila chenga hiki ni chama cha kijani kulipiza ile kauli ya majuzi
 
Back
Top Bottom