Chidi mnafiq sanaMimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao.
Aidha, Gwajima amesema haoni sababu ya Masheikh wa UAMSHO kuendelea kusota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua hatma yao
"Kuna Masheikh wa Uamsho wapo Mahabusu mwaka wa 9 sasa, hebu imagine ni Baba yako anasota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua atahukumiwa lini na vipi ikibainika hawana hatia mtawalipa nini?. Simaanishi hawana hatia au wanayo nashauri ni vyema wahukumiwe wajue moja.
Arusha kuna Masheikh 64 wanasota Mahabusu kwa kesi ya Ugaidi, najiuliza hivi hii nchi Magaidi ni Masheikh tu Hakuna watu wengine"Josephat Gwajima.
Ahsante Gwajima kwa kuliona hili.
Hiyo hotuba ya Gwajima bungeni inamwonyesha jinsi alivyo mnafiki. Yeye ni mbunge wa kawe, na hao masheikh wa uamsho au wa arusha hawapo kawe.Na zaidi anaingilia Mambo ya mahakama.Mimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao.
Aidha, Gwajima amesema haoni sababu ya Masheikh wa UAMSHO kuendelea kusota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua hatma yao
"Kuna Masheikh wa Uamsho wapo Mahabusu mwaka wa 9 sasa, hebu imagine ni Baba yako anasota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua atahukumiwa lini na vipi ikibainika hawana hatia mtawalipa nini?. Simaanishi hawana hatia au wanayo nashauri ni vyema wahukumiwe wajue moja.
Arusha kuna Masheikh 64 wanasota Mahabusu kwa kesi ya Ugaidi, najiuliza hivi hii nchi Magaidi ni Masheikh tu Hakuna watu wengine"Josephat Gwajima.
Ahsante Gwajima kwa kuliona hili.
Na inawezekana anatafuta Kiki ya kuja kugombea uraisi 2025. Na sijui ni watu wa aina gani watamuelewa kwa kauli yake hiyo ya kujitoa ufahamu.Mbunge wa Jimbo la Kawe, Mchungaji Dkt. Josephat Gwajima, amesema, kuna idadi kubwa ya watu wako mahabusu kutokana na suala la utakatishaji wa fedha ambao wako waliobambikiziwa kosa hilo na watumishi wasio waaminifu wa vyombo vya dola na kuomba suala hilo liangaliwe kwa kina.
"Kuna watu wengi sana Naibu Spika wako ndani, wako mahabusu maelfu ya watu kwa sababu ya hili suala la utakatishaji fedha kubambikiziwa na watu wasio waaminifu katika vyombo vyetu vya Dola"
"Mpaka leo kwa mujibu wa takwimu kuna watu 1,701 ambao wako mahabusu kwa sababu ya ama kwa ajili ya utakatishaji fedha Money laundering au kwa sababu ya uhujumu uchumi"
"Unakuta mtu anakwenda kwa mfanyabiashara kukusanya mapato au kudai mapato au malimbikizo ya mapato anakwenda na 'charge' kabisa kwamba usiponipa fedha kadhaa tayari nina hati hii hapa nakuwekea Money laundering au nakuwekea Economic Sabotage"
"Haileti "sense" kwanini wale Masheikh wa uamsho wako ndani mpaka leo, leo ni miaka 9. Najaribu kuwaza ingekuwa mimi, Baba au ndugu yangu ambaye ambaye mpaka leo miaka 9 yupo ndani, itakuwaje baada ya miaka 20 mkagundua hawana hatia mtawalipa nini kwa miaka waliyopoteza"
"Nashangaa kwanini Masheikh tu ndio wako ndani kwa kesi za ugaidi, hakuna gaidi mwingine ambaye sio sheikh, naomba tuangalie kwa undani sana namna ya ku-handle suala hili, sisemi wana hatia au hawana hatia, sijadili kosa lao lakini basi wangehukumiwa ikajulikana"
Kwani Magu ndo kawaweka mashehe ndani?Magufuli angekuwepo Gwajima angeweza kusema hayo?
Mkristo ama Mwislamu, madam kazaliwa Tanzania, anathamani sawa na mtanzania yeyote,Huyo mwehu anataka kwenda na upepo 🤣🤣🤣🤣
Hilo sasa ndio neno..huenda Mama anajiandaa kuwaachia Mashekhe.
..Gwajima ametumwa tu kusafisha njia.
Kwani Magu ndo kawaweka mashehe ndani?
Mnamsingizia kila kitu sasa
Pengine mafaili yao yana siri nzito sana...kama aliweza kuwatoa babu seya na papii waliolawiti watoto wa shule basi alikuwa na uwezo wa kuwatoa mashehe ambao imeshindikana kuwatia hatiani kwa miaka 6 sasa kesi iko mahakamani.
Pengine mafaili yao yana siri nzito sana.
Kwa jinsi Magu alivyokuwa na sifa asingeweza kuacha kuwatoa
Ameishauri serikali,na serikali so mtu,mataga mbona hamuelewi?Mashehe walifungwa na Magufuli?
Ushahidi uwapi Kama walihusika? UpelekeHao jamaa serikali kuwashikilia bila kuwafikisha mahakamani ni kama kuwaogopa, wanaogopa sheria inaweza kuwaachia huru watu ambao ni "threat" kwenye jamii.
Aina ya mahubiri waliyokuwa wanayafanya ndio inayowagarimu, na hili limesababisha hata marais "wenzao" wasiwaachie huru. Tuliona watu wakimwagiwa tindikali bcoz of them, na walipokamatwa hali ikatulia.
Wewe unaejua peleka ushahidiGwajima hajui kitu kuhusu ugaidi atulie tu mashekhe waonje hatma yao
Ukristo imeanza juzi znz? Acha roho mbayaAkifanya hivyo basi atakuwa amefanya kosa kubwa la kimkakati (kisiasa, kiulinzi, nakadhalika)
Kwa kuwaachia atawake mahali pagumu CCM Zanzibar na Hussein Mwinyi
Muungano, Utulivu, Uhuru wa wakristo wa Zanzibar navyo vitakuwa mashakani
Huyo Gwajima hawajui hao, aende Msumbiji akaone wanachofanya wafuasi waoMimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao.
Aidha, Gwajima amesema haoni sababu ya Masheikh wa UAMSHO kuendelea kusota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua hatma yao
"Kuna Masheikh wa Uamsho wapo Mahabusu mwaka wa 9 sasa, hebu imagine ni Baba yako anasota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua atahukumiwa lini na vipi ikibainika hawana hatia mtawalipa nini?. Simaanishi hawana hatia au wanayo nashauri ni vyema wahukumiwe wajue moja.
Arusha kuna Masheikh 64 wanasota Mahabusu kwa kesi ya Ugaidi, najiuliza hivi hii nchi Magaidi ni Masheikh tu Hakuna watu wengine"Josephat Gwajima.
Ahsante Gwajima kwa kuliona hili.