Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima ataka Masheikh wa Uamsho waachiwe na Sheria za uhujumu uchumi zirekebishwe

Chidi mnafiq sana
 
Hiyo hotuba ya Gwajima bungeni inamwonyesha jinsi alivyo mnafiki. Yeye ni mbunge wa kawe, na hao masheikh wa uamsho au wa arusha hawapo kawe.Na zaidi anaingilia Mambo ya mahakama.
 
Eeeh ahya vizuri kwa kuwakumbuka watumishi wa Mungu wenzie, nilitaka kusema siku zote alikuwa wapi kuyasemea hayo? Ila nimekumbuka yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
 
Na inawezekana anatafuta Kiki ya kuja kugombea uraisi 2025. Na sijui ni watu wa aina gani watamuelewa kwa kauli yake hiyo ya kujitoa ufahamu.
 
Huyo mwehu anataka kwenda na upepo 🤣🤣🤣🤣
Mkristo ama Mwislamu, madam kazaliwa Tanzania, anathamani sawa na mtanzania yeyote,

Napenda Jinsi wa Marekani walivyo, Thamani ya mtu mmoja wa kimarekani akipotea/kuwawa katika nchi Fulani, ni lazima taifa Hilo lijitetee kwa nini mmarekani huyo kauwawa

Naomba siku moja tufike huko, Mtanzania yeyote bila kujali dini, rangi, kabila au Chama chake, pindi inapotokea ameonewa, uttetezi wake utokee kila pande za nchi na Kwa kila mtanzania
Bungeni, uraiani na sehemu yoyote ili mradi tu ni mtanzania na ameonewa Kweli

Gwajima, nimekuelewa sana, na huu ndio utanzania, Dini ukiwa sehemu husika umevaa na yake majoho

Tutambulike Kwa utanzania na sio Kwa dini zetu tulizonazo

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwani Magu ndo kawaweka mashehe ndani?
Mnamsingizia kila kitu sasa

..kama aliweza kuwatoa babu seya na papii waliolawiti watoto wa shule basi alikuwa na uwezo wa kuwatoa mashehe ambao imeshindikana kuwatia hatiani kwa miaka 6 sasa kesi iko mahakamani.
 
..kama aliweza kuwatoa babu seya na papii waliolawiti watoto wa shule basi alikuwa na uwezo wa kuwatoa mashehe ambao imeshindikana kuwatia hatiani kwa miaka 6 sasa kesi iko mahakamani.
Pengine mafaili yao yana siri nzito sana.
Kwa jinsi Magu alivyokuwa na sifa asingeweza kuacha kuwatoa
 
Pengine mafaili yao yana siri nzito sana.
Kwa jinsi Magu alivyokuwa na sifa asingeweza kuacha kuwatoa

..watolewe mahabusu.

..wakati huohuo uchunguzi dhidi yao uendelee.

..uchunguzi ukikamilika na ikionekana wana makosa wapelekwe mahakamani.
 
Ushahidi uwapi Kama walihusika? Upeleke
 
Akifanya hivyo basi atakuwa amefanya kosa kubwa la kimkakati (kisiasa, kiulinzi, nakadhalika)

Kwa kuwaachia atawake mahali pagumu CCM Zanzibar na Hussein Mwinyi

Muungano, Utulivu, Uhuru wa wakristo wa Zanzibar navyo vitakuwa mashakani
Ukristo imeanza juzi znz? Acha roho mbaya
 
Huyo Gwajima hawajui hao, aende Msumbiji akaone wanachofanya wafuasi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…