Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hapa hata akisema ye ni mtumishi wa Mungu, tunaweza kuamini sasa...Mimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao...
most underrated comment ever 😁😁😁Nlidhani anataka kufufua mtu
Injili keshaiacha kuna siku aliongea bungeni akasema waisalamu wenzangu!!! KeshaharibikaMuhubiri wa injili anapokuwa mwanasiasa ni sawa na kuweka divai mpya katika chupa kukuu, chupa itapasuka na divai itamwagika
Kichwa kimejaa nini hicho mjinga wewe?Baada ya shetani wao kufa akili zimeanza kuwarudi sasa
Kwan haogopi.... Pyupyu....Magufuli angekuwepo Gwajima angeweza kusema hayo?
Wengi waliokuwa kwenye mtungi wa mwendazake anawanywa anavotaka yeye.kikombe wamekiepuka.Kama ni maneno yake kweli, basi amajivua gamba la kijani na kuuvaa uzalendo.
Kusoma mazingira ni mhimu .Ukisikia jamaa wanasema fulani ni bendera fuata upepo halafu ukawa hujui wanamaanisha nini, mfuatilie Gwajima.
AiseeeGwajima muongo hilo la masheikh anapitia tu yeye anahaha kumpigania mfadhiri wake Joseph Rwegasira ,Diwani wa makongo aliyeko mahabusu kwa utakatishaji , Rwegasira amefanya ufisadi mkubwa ktk kampuni ya vinywaji BEVCO na alijaribu kutoroka TAKUKURU wakamkamatia Shinyanga
Atafufuka lakini atakufa tena,watu walivyomugeuka hataamini.Nlidhani anataka kufufua mtu
Pole sana. Hilo tapeli tu Kama matapeli mengineAskofu wangu wa kanisa la ufufuo alinidisappoint sana
Masheikh, kukaa magereza kwa miaka 9, mama SAMIA suluhu na kasim Majaliwa walikuwa wapi?Mimi siongezi neno hapa
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amelishauri Bunge kuwa Sheria kandamizi zilizotungwa mwaka 2019 ikiwemo Sheria ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha zifanyiwe Marekebisho kwani kuna Maelfu ya watu Wamebambikiwa kesi hizo mpaka sasa Wanasota Mahabusu bila kujua hatma yao.
Aidha, Gwajima amesema haoni sababu ya Masheikh wa UAMSHO kuendelea kusota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua hatma yao
"Kuna Masheikh wa Uamsho wapo Mahabusu mwaka wa 9 sasa, hebu imagine ni Baba yako anasota Mahabusu kwa miaka 9 bila kujua atahukumiwa lini na vipi ikibainika hawana hatia mtawalipa nini?. Simaanishi hawana hatia au wanayo nashauri ni vyema wahukumiwe wajue moja.
Arusha kuna Masheikh 64 wanasota Mahabusu kwa kesi ya Ugaidi, najiuliza hivi hii nchi Magaidi ni Masheikh tu Hakuna watu wengine"Josephat Gwajima.
Ahsante Gwajima kwa kuliona hili.
Labda rudia historia vizuri zote ya Zanzibar na uislamu kwa ujumla. Makanisa au wakristo Zanzibar ni minority, lakini miaka yote wamekuwa wakifanya shughuli zao bila shida yoyote. Hii sio bahati mbaya, ni maelekezo ya dini yenyewe.Gwajima mara hii kasha sahau viongozi wenzake (wakristo) waliokuwa wakipigwa risasi, makanisa kuchomwa na kutupiwa mabomu Zanzibar, Arusha, Dar, Kagera, nakadhalika
Kwakweli, kwa kushindwa kufufua nimeamini ni tapeli kama wengine tu.Pole sana. Hilo tapeli tu Kama matapeli mengine