Mbunge wa Kenya afuata nyayo za Prof. Kabudi, atoa hotuba nzuri kwa Kiswahili safi sana

Mbunge wa Kenya afuata nyayo za Prof. Kabudi, atoa hotuba nzuri kwa Kiswahili safi sana

Wewe bila Shaka ni mkikuyu ndio sababu lolote linalofanywa na wakikuyu unaliunga mkono. MAHAKAMA ilifuta matokeo ya uchaguzi na kuamrisha mambo mawili yafanyike
1)Uchaguzi urudiwe baada ya kutokidhi kiwango.
2)Servers zifunguliwe ili taarifa ziwe wazi.

NASA wakasema wapo tayari kurudi katika uchaguzi baada ya
1)Servers kufunguliwa
2)Uongozi mzima wa tume ya uchaguzi kubadilisha.

Tume ya uchaguzi ikakataa kujiuzulu na inakataa kufungua "servers", badala yake ikaendelea kuandaa uchaguzi chini ya shindikizo la Jubilee, huku CJ akipokea vitisho toka kwa Uhuru Kenyatta
Mkikuyu anayeitwa komora[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Endelea ku force tu
 
Unakumbuka nilikuambia ninyi ni watu wakenya ni watu wagumu kujadili mada?, uwezo wenu wa akili ni mdogo sana, unakumbuka Yule mwenzako alivyokua anakuvuruga?.

Hivi wewe ukiambiwa ukacheze mpira dhidi ya timu pinzani na ukaonyeshwa muamuzi atakayesimamia hiyo mechi, na ukaonyeshwa sehemu ambayo utalazimika kwenda iwapo haki haijatendeka, na ukakubali kwenda uwanjani, ulipofika ukakuta kuna matatizo, ukaamua kutoka uwanjani badala ya kwenda kule ulikoambiwa ukatoe malalamiko yako, utakua na akili kweli?.

Wapinzani wa Tanzania ni vichaa, hii nchi sio banana Republic, walipaswa kwenda mahakamani sio kujitoa kabla hawajamaliza kufuata hatua zote za kisheria, kama hawana imani na MAHAKAMA au mifumo yote ya nchi, kwanini waliamua kwenda katika uchaguzi?, hawa ni vichaa sana, ndio sababu viongozi na wana chama wao wanawatoroka kwa kasi kubwa.
Wewe ni mnafiki, mara uko upande huu mara upo kule..hueleweki..
Engineer levi
Usimuamini mtanzania hta km ywajitia ukarimu machoni mwako...
 
Back
Top Bottom