Mbunge wa Kenya atoa mfano bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji Tanzania

Mbunge wa Kenya atoa mfano bungeni kuhusu matukio ya utekaji na mauaji Tanzania

Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".

Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....

Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!

How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.

Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
 
Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".

Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....

Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!

How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.

Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
Wewe na nani mnaokula na kusaza? Wewe shoger kama unakula na kusaza vipi bibi na babu, mjomba na shangazi na ndg zako huko kijijini wanakula na kusaza?
 
Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".

Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....

Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!

How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.

Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.

Nchi zote za kiarabu zîpo kwèñye tàbia ya nchi za ujangwa Lakini zipo Mbali kimaendeleo Kwa sababu ya Matumizi Sahihi ya Àkili
Dubai Ipo kwèñye listi ya Majiji matatu Duniani yanayotembelewa na Watu Kwa sababu ya Ûzuri. Na Ipo jangwani
 
Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".

Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....

Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!

How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.

Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
Usikariri taarifa za hovyohovyo.Kwa sasa Tanzania ni nchi ya kutolea mifano ya mambo yote ya kijinga.
 
Unalimia kitandani kuwakatikia wanaume wenzako sio? Nchi hii mpaka mashoger mnajiona mna akili timamu
Unatakaje sasa mbona una hasira sana? 😂😂😂

Mboro lazima nizikatikie lakini tayari nikiwa nimeshiba ugali ili nijambe vizuri.

Endelea kudoea mahindi ya kuchoma huku ukilalalama na kunionea donge ninavyojambia miboro.

Cc: Mwachiluwi
 
Kama Una kiingereza kidogo hebu pata points mbili TATU hapo, majirani wameshaanza kutuTolea case study....

Hapa wanamkaanga Ruto, huku Sisi tunampigia Makofi Samia kwa Utekaji.

View attachment 3101896
Hizi ndizo gharama za kuishi barani Africa.
Eeh Mungu wabariki wazungu.
Tuwashtaki UN

Wamevuka Mipaka
Nchi zote za kiarabu zîpo kwèñye tàbia ya nchi za ujangwa Lakini zipo Mbali kimaendeleo Kwa sababu ya Matumizi Sahihi ya Àkili
Dubai Ipo kwèñye listi ya Majiji matatu Duniani yanayotembelewa na Watu Kwa sababu ya Ûzuri. Na Ipo jangwani
Inasikitisha sana mtu kachoma picha tu kapotezwa.
Usikariri taarifa za hovyohovyo.Kwa sasa Tanzania ni nchi ya kutolea mifano ya mambo yote ya kijinga.
Kuna mambo ya ajabu sana kwa viongozi wa kiafrika.

Akili zao nyeusi sana, unafikia maamuzi ya kuua wapinzani unakuwa na akili kweli?
Mtu kukosoa imekuwa dhambi?

Waafrika aliyetuloga basi tu

"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".

Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....

Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!

How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.

Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
Kwa akili yako ya kiccm, unadhani ni Mbowe tu anayefanya uhuni?

Inapotokea ccm imefanya uhuni ishughulikiwe na nani?

Ukinijibu niite mpumbavu
 
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Ukisoma Historia unagundua hata wazungu nao walikuwa vivi hivi kama Sisi.

Tusipojua pakupeleka matatizo yetu. Waô wanajua pakuyapeleka yakwao
 
Back
Top Bottom