Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Wewe ni kichwa cha bata kabisa.😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni kichwa cha bata kabisa.😂
Usipende kudanganya watu kwenye kipindi hiki cha utandawazi.Huna macho?, hulinganishi?, Uoni? Tena baadhi ya sekta kama umeme vijijini Kenya tumeiacha mbali sana.
Saaafi kabisaUsipende kudanganya watu kwenye kipindi hiki cha utandawazi.
EBU PITIA HIZO TAKWIMU HAPO CHINI 👇🏿 👇🏿
View attachment 3102124
Mwaka 2022, rural electrification ilikuwa 65.6%. Mwaka 2024 wamefikia 75%. Malengo yao mwaka 2030 wafikie 100%.
View attachment 3102125
Takwimu za mwaka 2023 kwa Tanzania ni 23%. Labda kama una takwimu nyingine zilifanyiwa utafiti, basi ulete!
View attachment 3102126
Dunia inaenda kasi sana. Hapo wapo wengine wanaotamani waende huko UN kuomba mbunge huyo apongezweTuwashtaki UN
Wamevuka Mipaka
Mkuu unaishi mbingu ipi?Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".
Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....
Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!
How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.
Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
SitimbiMkuu unaishi mbingu ipi?