Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Huyo ni choko mtoto ana laana sana kazaliwa vizuri mwanaume ila wanadamu wamemuharibuWewe na nani mnaokula na kusaza? Wewe shoger kama unakula na kusaza vipi bibi na babu, mjomba na shangazi na ndg zako huko kijijini wanakula na kusaza?
Inakimbia kwenye nini? Au wanapodai mama anaupiga mwingi wewe ndio unadhani maendeleo?Hiyo inaitwa "kasumba" mataifa yaliidharau sana China wakati huo, lakini leo hii heshima tele na hofu, Kenya bado wanayo waliyolishwa zama zile, kumbe Tanzania inakimbia sana na upesi sana, good flightβETβand more is coming!
Ulizaliwa vizuri mwanaume ila bila aibu leo umekuwa shoga aisee walimwengu ni katili sanaUnatakaje sasa mbona una hasira sana? πππ
Mboro lazima nizikatikie lakini tayari nikiwa nimeshiba ugali ili nijambe vizuri.
Endelea kudoea mahindi ya kuchoma huku ukilalalama na kunionea donge ninavyojambia miboro.
Cc: Mwachiluwi
Kuna vitu huvielewi au wewe mwenyewe hujielewi.Jamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".
Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....
Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!
How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.
Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
Serikali ya Samia ndiyo imetufikisha huku...acha watuue wote tuone itakuwajeKama Una kiingereza kidogo hebu pata points mbili TATU hapo, majirani wameshaanza kutuTolea case study....
Hapa wanamkaanga Ruto, huku Sisi tunampigia Makofi Samia kwa Utekaji.
View attachment 3101896
Mfano mbaya huu cc Nyani Ngabu KirangaKama Una kiingereza kidogo hebu pata points mbili TATU hapo, majirani wameshaanza kutuTolea case study....
Hapa wanamkaanga Ruto, huku Sisi tunampigia Makofi Samia kwa Utekaji.
View attachment 3101896
Hivyo ni vijiji vya wapi unavyovizungumzia? Kwasababu mimi naishi kijijini na shughuli zangu zipo huku na umaskini unanuka mno huku niliko na watawala tulionao wao wanachowaza ni samia tena 2025 tu wala hawawazi kumuondolea mkulima umaskini alionao....elimu yetu nayo imepitwa na wakati inazalisha vijana viazi kama wewe ambapo badala ya kutafuta suluhu kwakutumia hiyo munayoita elimu muliyonayo ili haya mazao ya vitunguu,parachichi,nyanya,kahawa na Tanzanite ambavyo wakenya wanakuja kulangua huku wanaenda kuuza huko kwenye masoko ya kimataifa huku wanadai vimetoka nchini mwao na sisi tunaishia kuwaita matapeliHuna macho?, hulinganishi?, Uoni? Tena baadhi ya sekta kama umeme vijijini Kenya tumeiacha mbali sana.
Waafrika wengi hwakosoi utawala,mara nyingi wanatoa matusi tu na kudhalilisha viongozi waliopo madarkaniKuna mambo ya ajabu sana kwa viongozi wa kiafrika.
Akili zao nyeusi sana, unafikia maamuzi ya kuua wapinzani unakuwa na akili kweli?
Mtu kukosoa imekuwa dhambi?
Waafrika aliyetuloga basi tu
Unayajua matusi? Usiseme kitu ambacho hukijuiWaafrika wengi hwakosoi utawala,mara nyingi wanatoa matusi tu na kudhalilisha viongozi waliopo madarkani
Bado zamu yakeKama Una kiingereza kidogo hebu pata points mbili TATU hapo, majirani wameshaanza kutuTolea case study....
Hapa wanamkaanga Ruto, huku Sisi tunampigia Makofi Samia kwa Utekaji.
View attachment 3101896
Kwani Mimi naishi Dunia tofauti na Yako ww mkuu?Unayajua matusi? Usiseme kitu ambacho hukijui
Wewe ni kichwa cha bata kabisa.πUnatakaje sasa mbona una hasira sana? πππ
Mboro lazima nizikatikie lakini tayari nikiwa nimeshiba ugali ili nijambe vizuri.
Endelea kudoea mahindi ya kuchoma huku ukilalalama na kunionea donge ninavyojambia miboro.
Cc: Mwachiluwi
Aiiiii hii nayo ni chai.Huna macho?, hulinganishi?, Uoni? Tena baadhi ya sekta kama umeme vijijini Kenya tumeiacha mbali sana.
We cannot spoken the same as shithole country where opposition leaders are taken on buses Infront of people and killed but their president say death is death.we cannot allow this ignorance to be happening in kenya.jamaa wameamua kutusemea. safi sana.
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."Wanashangaa tukio la Tanzania kiongozi wa chama cha kisiasa CHADEMA kutekwa kutoka ndani ya basi, huo ni ugaidi unaotakiwa kupigwa vita.
Ni jambo zuri kuona mjadala wa vitendo vya Polisi kuteka raia unajadiliwa ktk bunge la ma senator live / mubashara nchini Kenya .
Admins mngeona nilichoandika mmngenipiga banJamaa wana madharau sana na Tanzania......... ati "we cannot be spoken the same with countries like Tanzania".
Wangejua Tanzania ni kama paradiso tofauti na hilo Jangwa lao....
Sijui ni zile propaganda wanalishwa na kina Moi na Kenyatta!
How can a desert like Kenya be better than Tanzania? Tunakula na kusaza, amani na furaha tele, elimu, miundombinu, uchumi wa kati.
Mbowe akifanya uhuni lazima ashughulikiwe na genge lake.
Huyu mama na aende" Whom are we to ask"? Samia Suluhu Hassan ? π