Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Nyumba za tembe ndiyo matunda? Moshi, Arusha, Mbeya, Mwanza na Iringa hawajawahi kuchagua mhindi, mwarabu wala msomali mbona wana maendeleo kuliko Singida, Igunga, Morogoro, Kishapu n.k?
Igunga ipi mkuu au unazungumzia Igunga ya nje ya Tanzania? hapo napita kila mara ni nyumba za tembe zimejaa balaa, shida ya maji, shule, barabara ukitoa lami(main road) kuna nini tena? au maendeleo yapi yale magofu ya magodown pale njiani aliyoacha Rostam?Umeenda igunga lakini au unaongea tu? Hiyo ni akili ya mtu tu,,ila usihukumu wote ndio hawafai,,,hata sisi tunamapungufu yetu tena zaidi na zaidi na ufisadi juu.
Hapo tiari umeshafungulia swaumu yako mkuu. Kama amekuambia neno lolote baya nawe usimrudishie,,ndio uislamu unatufundisha hivyo
Sheria hairuhusu kupekua Makazi ya Mtuhumiwa Baada ya Saa Kumi naMbilii jioni.View attachment 1441653
Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mbunge wa Kishapu (CCM) Suleiman Nchambi kwa tuhuma za kukutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyara za Serikali
==
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume cha sheria.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Jumatano Mei 6,2020, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo limetokea Mei 3,2020 majira ya saa sita kasoro usiku katika mtaa wa Lubaga kata ya Lubaga Manispaa ya Shinyanga.
“Mei 3,2020 majira ya sita kasoro usiku Kikosi kazi cha askari wa upelelezi kikiongozwa na Kaimu Mkuu wa upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Shinyanga SP Davis Msangi kwa kushirikiana na Afisa wa Wanyamapori mkoa wa Shinyanga Perfect Mbwambo walifanya upekuzi kwenye makazi ya Mbunge wa Jimbo la Kishapu baada ya kupata taarifa za kiintelejensia kuwa Mheshimiwa huyo alikuwa akifanya uwindaji haramu kwenye eneo la Negezi wilayani Kishapu akiwa na gari yenye namba za ujasili T760 DSD Nissan Hard Body”,ameeleza Kamanda Magiligimba.
“Katika upekuzi huo walifanikiwa kukamata nyama iliyodhaniwa kuwa ni wanyamapori yenye uzito wa kilogramu 35 zikiwa zimehifadhiwa kwenye jokofu lililokuwa jikoni,jingine sehemu ya mazoezi na nyama nyingine ilikutwa kwenye gari hilo likiwa limeegeshwa nyumbani kwake ndani ya uzio wa nyumba hiyo”,amesema Kamanda Magiligimba.
“Katika gari hilo kulikutwa silaha moja aina ya shortgunWakati askari hao wakiendelea na upekuzi ndani ya chumba chake cha kulala zilipatikana silaha zingine za aina mbalimbali na kufanya jumla ya silaha zilizokamatwa kuwa 16 ambazo ni Airgun 3, Shortgun 3,Rifle 8, Pistol 1 na Mark IV 1 pamoja na risasi 536 zikiwa kwenye kabati la nguo",anaeleza Kamanda.
“Baada ya uchunguzi wa awali iligundulika kuwa silaha 10 ambazo ni Airgun 2, Rifle 5, Shortgun 2 na Mark IV 1 kati ya 16 anazimiliki isivyo halali”,ameeleza Kamanda Magiligimba.
Kamanda Magiligimba amesema nyama hizo zimepelekwa maabara ya mkemia mkuu wa Serikali kwa uchunguzi zaidi na gari husika limekamatwa.
“Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika. Natoa onyo kali kwa yeyote atakayejihusisha na vitendo vya kumiliki silaha isivyo kihalali hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake”,amesema Kamanda Magiligimba.
Uwiiiiiiiiiii !!!!!!!!!!!!!!!View attachment 1441653
Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mbunge wa Kishapu (CCM) Suleiman Nchambi kwa tuhuma za kukutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyara za Serikali
==
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume cha sheria.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Jumatano Mei 6,2020, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo limetokea Mei 3,2020 majira ya saa sita kasoro usiku katika mtaa wa Lubaga kata ya Lubaga Manispaa ya Shinyanga.
“Mei 3,2020 majira ya sita kasoro usiku Kikosi kazi cha askari wa upelelezi kikiongozwa na Kaimu Mkuu wa upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Shinyanga SP Davis Msangi kwa kushirikiana na Afisa wa Wanyamapori mkoa wa Shinyanga Perfect Mbwambo walifanya upekuzi kwenye makazi ya Mbunge wa Jimbo la Kishapu baada ya kupata taarifa za kiintelejensia kuwa Mheshimiwa huyo alikuwa akifanya uwindaji haramu kwenye eneo la Negezi wilayani Kishapu akiwa na gari yenye namba za ujasili T760 DSD Nissan Hard Body”,ameeleza Kamanda Magiligimba.
“Katika upekuzi huo walifanikiwa kukamata nyama iliyodhaniwa kuwa ni wanyamapori yenye uzito wa kilogramu 35 zikiwa zimehifadhiwa kwenye jokofu lililokuwa jikoni,jingine sehemu ya mazoezi na nyama nyingine ilikutwa kwenye gari hilo likiwa limeegeshwa nyumbani kwake ndani ya uzio wa nyumba hiyo”,amesema Kamanda Magiligimba.
“Katika gari hilo kulikutwa silaha moja aina ya shortgunWakati askari hao wakiendelea na upekuzi ndani ya chumba chake cha kulala zilipatikana silaha zingine za aina mbalimbali na kufanya jumla ya silaha zilizokamatwa kuwa 16 ambazo ni Airgun 3, Shortgun 3,Rifle 8, Pistol 1 na Mark IV 1 pamoja na risasi 536 zikiwa kwenye kabati la nguo",anaeleza Kamanda.
“Baada ya uchunguzi wa awali iligundulika kuwa silaha 10 ambazo ni Airgun 2, Rifle 5, Shortgun 2 na Mark IV 1 kati ya 16 anazimiliki isivyo halali”,ameeleza Kamanda Magiligimba.
Kamanda Magiligimba amesema nyama hizo zimepelekwa maabara ya mkemia mkuu wa Serikali kwa uchunguzi zaidi na gari husika limekamatwa.
“Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika. Natoa onyo kali kwa yeyote atakayejihusisha na vitendo vya kumiliki silaha isivyo kihalali hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake”,amesema Kamanda Magiligimba.
Asilimia kubwa ya Waarabu na Wahindi wanaoishi Bara wameshiriki sana kufanya uharamia huu ! Then mtu baadaye anakuja kutajirika anatudaganaya eti anafanya kazi kwa bidii ,masa mengi,......Ndio maana amekuwa Bilionea akiwa kijana mdogo ...tunaojua aasili ya utajiri wao tunachekaaaaaa ,...hlafu hapo kwenye hiyo orodha ya maeneo ya uharamia umeisahau Singida!Hao watu asili yao ni uharamia, angalia maeneo yote waliyokaa Waarabu na hadi leo wameacha hiyo rangi kama vile Igunga, Shinyanga, Tabora, Mpanda, Sikonge, Sumbawanga, Morogoro, hayo ni baadhi ya maeneo waliyokuwa wanaendeshea uharamia wao.
Hapo ndipo ushindi wa kesi ulipo mkuu!Sheria hairuhusu kupekua Makazi ya Mtuhumiwa Baada ya Saa Kumi naMbilii jioni.
Wao POLISI wamempekua SitaUsiku,
Uonevu.
Huna tofauti na yule aliyesema Maabara yetu ya Taifa inahujumiwa na Mabeberu. Wakati huo huo anategemea kuagiza mitambo mingine toka kwa Mabeberu.Angekuwa wa Chadema ,bavicha wangelalama sana kuwa hizo ni hujuma tu za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora ndo zao (zetu) kuchagua hawa wenye asili...........Umeenda igunga lakini au unaongea tu? Hiyo ni akili ya mtu tu,,ila usihukumu wote ndio hawafai,,,hata sisi tunamapungufu yetu tena zaidi na zaidi na ufisadi juu.
Alikuwa na kesi yaTAKUKURU-rushwa huko Biharamulo mwaka 2018.Hii ya lini tena?
Huyu alishawahi kukamatwa kwa ujangili!
Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaokuka taratibu .
Ndivo itakavopita na hii muhimu ni kujisalimisha na kuubusu msalaba tu nawe utaponakwani ile issue ya mdogo wa rostam iliishia wapi....hata hii itapita tu
Hivi ni huyu alikuwa na kesi iliyofunguliwa Biharamulo kuhusiana na hizo ishu za STAMICO?Kama ni yeye itakuwa jamaa si wa mchezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana elimu gani?Hassani ngoma anapwaya sanaa, kwanza anashindwa kutambua kuwa Baby kabae ni moderator pale yeye anabishana nae kam anabishana na mkewe nyumbani kwake alafu anaropoka sanaa haongei kwa mpangilio nadhani apellekwe kwenye power breakfast kwa akina gea habibu.
anashindwa kuwa very proofesional hivi hata ukiangalia uchambuzi wa habar wanazungumza tu kijinga jinga.
Sent using Jamii Forums mobile app