Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Hii itaisha tu kama ya Akram mdogo wake Rostom Aziz tu,stay tuned

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilidhani Wabunge wanaoonekana hawafai ni wa Upinzani pekee na CCM wote ni Malaika kumbe hata Kwao kuna Vitimbi?
Ngoja nikupe elimu kidogo.

Tunaelekea kwenye uchaguzi hapo Oktoba, 2020.
Kuna wengine nao wanataka kula, ni lazima iwepo njia ya kuachiana ulaji.

Umeelewa?

Sijasema hao wanaotafuta ulaji ni wasafi kuliko huyo wanayemwondoa njiani.
 
ndugu jadili uovu wa mtu.chama cha mapinduzi kinahusikaje mkuu.chama sio kibaya,mbaya mtu. Jadilini hilo jangili. CCM isihguswe kabisa
 
Hao ndiyo wagonga meza mahiri wakiwa bungeni.

Linatoka Chama Cha Majambazi.
 
Wazee wa uwindaji, huo mzigo wa silaha kama ana miliki kitalu cha uwindaji😂😂
 
 
Hakuna kesi hapo atatoka tu na ataendelea na majukumu yake kama kawaida

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hii awamu, sio.Labda afanyeje, na sisi tunalifuatilia tujue mwisho wake na silaha zetu zimerudi na haki ya wanyama waliouawa inapatikana.Humu yapo mengi.Tunasubiri kusikia Mwizi mwingine wa silaha aliyeonekana humu na kuwatesa sana wakazi wa ngarenaro Arusha Kamanda wa vijana Mujusi tujue nae yamepaaishwa au yamezamishwa.
 
Huyu alikuwa ana kesi ya kutoa rushwa biharamulo 2018 kuna mtu alimgusa kesi iko wpi??kangi je si alikamatwa kwa kuomba rushwa na uwaziri akapewa au ilikuwa awamu ya kwanza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua juzi tu kapewa ukweli wake akageika mbogo bungeni kumbe ndio kazi take twafaaa
 

Duhh! Ni nani alietupwa hapa duniani mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…