Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
Jamanii! Sio ivo bana. Alienda kujiridhisha kama yule mchezaji alishika mpira au lah.Hivi yule refaree aliechezesha faina alienda kuangalia nini kwenye var?
Huyu mbunge anaongoza kwa kupata kura nyingi kuliko wabunge wote wa tz, amewazidi mapfo. Kama Mpango na kabudi wabunge wa viti maalum.Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi @II Proud Mr II Sugu, akihojiwa na Gazeti la Mwananchi jana ofisini kwao, alikiri wazi kuwa, yeye hana uwezo wa kuandika neno "Zinjanthropus" na hata jina la "George" lakini akadai hiyo haina maana kuwa hajui kuandika.
Mbilinyi ndiye Waziri Kivuli wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa nyingi za Serikali, pamoja na Mikataba na Sheria mbalimbali huandikwa kwa kiingereza. Viva mzee.
View attachment 813934
Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi @II Proud Mr II Sugu, akihojiwa na Gazeti la Mwananchi jana ofisini kwao, alikiri wazi kuwa, yeye hana uwezo wa kuandika neno "Zinjanthropus" na hata jina la "George" lakini akadai hiyo haina maana kuwa hajui kuandika.
Mbilinyi ndiye Waziri Kivuli wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa nyingi za Serikali, pamoja na Mikataba na Sheria mbalimbali huandikwa kwa kiingereza. Viva mzee.
View attachment 813934
Hawezi kuandika hivyo vineno viwili Ila hata akifa Leo tungo zake zitahifadhiwa na kukumbukwa vizazi hata vizazi kwa ubora wakeHuyu mbunge anaongoza kwa kupata kura nyingi kuliko wabunge wote wa tz, amewazidi mapfo. Kama Mpango na kabudi wabunge wa viti maalum.
Haya nyie wajanja mbona pia hamjui? ni Gorge sio George. Inawezekana pia hata maana ya gorge hamjui kwani wengi wenu mnatamka joji!Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi @II Proud Mr II Sugu, akihojiwa na Gazeti la Mwananchi jana ofisini kwao, alikiri wazi kuwa, yeye hana uwezo wa kuandika neno "Zinjanthropus" na hata jina la "George" lakini akadai hiyo haina maana kuwa hajui kuandika.
Mbilinyi ndiye Waziri Kivuli wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa nyingi za Serikali, pamoja na Mikataba na Sheria mbalimbali huandikwa kwa kiingereza. Viva mzee.
View attachment 813934
haha haaa.. Sio hivyo, alienda kuonyweshwa vimwana na aliambiwa asipotoa penati hawapati?Jamanii! Sio ivo bana. Alienda kujiridhisha kama yule mchezaji alishika mpira au lah.
Ni Tanzania tu ambapo unaweza kupata Mbunge wa calibre ya Sugu,shame on us.Kwa Wabunge wa aina ya akina Sugu,I cannot imagine Tanzania being a middle income country.Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi @II Proud Mr II Sugu, akihojiwa na Gazeti la Mwananchi jana ofisini kwao, alikiri wazi kuwa, yeye hana uwezo wa kuandika neno "Zinjanthropus" na hata jina la "George" lakini akadai hiyo haina maana kuwa hajui kuandika.
Mbilinyi ndiye Waziri Kivuli wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa nyingi za Serikali, pamoja na Mikataba na Sheria mbalimbali huandikwa kwa kiingereza. Viva mzee.
View attachment 813934
Alienda kumuangalia huyo mama komandoo kutoka Croatia.Hivi yule refaree aliechezesha faina alienda kuangalia nini kwenye var?
Hujui historia ya Tanzania wewe sio mtanzania . Zinjanthropus ana uhusiano sana Na Tanzania Sasa kama humjui wewe sio mtanzania.Ni sawa Na kuulizwa unamjua Mkwawa walikuwa Nani ukisema sijui wewe sio mtanzania.Sugu afuatiliwe uraia wakeSwali la kujiuliza ni kuwa hilo neno la kigiriki lina uhusano gani na uchaguzi wa udiwani??
Hizo figisu fgisu za CCM sasa zimefikia hatua mbaya sana!