Hii nchi imejaa wajinga ile mbaya, mkuu wa nchi anaogopa lugha ya kigeni anatumia kiswahili kwa kisingizio cha uzalendo. Huku wateule wake wanawakoga wapinzani wa chama cha rais kwa lugha ambayo boss wao inamkondesha!!
Hujui historia ya Tanzania wewe sio mtanzania . Zinjanthropus ana uhusiano sana Na Tanzania Sasa kama humjui wewe sio mtanzania.Ni sawa Na kuulizwa unamjua Mkwawa walikuwa Nani ukisema sijui wewe sio mtanzania.Sugu afuatiliwe uraia wake
Historia hiyo inafundisha shule ya msingi huhitaji kujua zinjanthropus ni Nani kuwa labda ufike secondary ulienda kunya chooni wakati mwalimu wa historia shule ya msingi akifundisha Habari za zinjanthropus?