Bora yeye aliyeoa akiwa mkubwa sana ikiwa tayari anajua nini anakiingia, kuliko kukurupuka na kuishia majuto.Kaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.
Hongera zake.
Kuandaliwa maisha mazuri na wazazi si kigezo cha kuoa.
Mtu anaoa kwa mintaarafu ya mustakabali wa maisha yake mwenyewe, si kwa mujibu wa maisha ya kupangiwa na wazazi.
Watu kama wewe mnapangiwa mpaka mke wa kuoa.
Kuna jamii zilizoendelea kiuchumi ambazo zina utajiri wa vizazi na vizazi na bado watu hawawahi kuoa.
Bado hujaelewa kwamba ukiwa katika jamii masikini, kama hujajitoa elements fulani za jamii hiyo, hata ukiandaliwa maisha mazuri na wazazi wako unaweza kuwa bado una shombo la jamii masikini.
Kuwahi kuoa si sifa. Ni alama ya jamii masikini hata kama umeandaliwa maisha mazuri na wazazi wako.
Duh! Umeandika maandishi mengi sana mkuu na mimi ni mvivu wa ku-Type.
Mimi nadhani nimemaliza. Sina sababu ya kuanza kujieleza kwa maandishi mengi.
Bado hujaona kitabu nilichoandika.
Jamii masikini zinaendana na uvivu wa ku type.
Kwa sababu zimewahi kuoa/kuolewa na kwa sababu hiyo hazijaenda shule.
Bora yeye aliyeoa akiwa mkubwa sana ikiwa tayari anajua nini anakiingia, kuliko kukurupuka na kuishia majuto.
Katika jamii masikini mtu akiamua kutooa/olewa ana matatizo.Yes mkuu, I mean kuoa sio kubariki ndoa.
Prof. Jay hapo kabariki ndoa. There is no way mtu wa umri wake awe hajaoa, labda awe na tatizo.
Kwani ana miaka mingapi?Yes mkuu, I mean kuoa sio kubariki ndoa.
Prof. Jay hapo kabariki ndoa. There is no way mtu wa umri wake awe hajaoa, labda awe na tatizo.
Sio kinyume chake chief...Kuwahi kuoa na kuolewa ni tabia ya jamii masikini.
Sasa wewe upo namtumbo huko utajuaje hizo story za Mzee wa mitulinga.. Na wana mtoto ana kama miaka 10 hiviWewe ndio house girl wao
Katika jamii masikini mtu akiamua kutooa/olewa ana matatizo.
Kumbe kuna wengine maisha yao wameamua kutafuta dawa ya kansa tu.
Kwani ana miaka mingapi?
Bora uchelewe kuoa kuliko kuwahiKaoa akiwa mkubwa sana. Mimi kipindi nikiwa kidato cha kwanza yeye alikuwa kijana mkubwa kabisa. Nimekua nimeoa yeye ndo amekuja kuoa.
Hongera zake.
Tatizo hujui kusoma, kwa sababu umewahi kuoa na hujaenda shule.Tatizo ni cancer hapo ndo maana wameamua kutooa/kutoolewa.
Tatizo huji kusoma, kwa sababu umewahi kuoa na hujaenda shule.
Ungejua kusoma ungejua nilichoandika na ulichosoma ni vitu viwili tofauti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah haya tumekusikiabachela mkuu amefunga pingu.. hongera sana mbunge unaewakilisha binadamu na wanyama