Ninapenda kumtumia salam za pole, My brother Charles, ingawa pia sisikitiki sana maana kijana alishafikia hatua ya kujiona amemaliza dunia kwa kupata ubunge tu, yaani kwa kifupi masikio yake yalishaanza kukipita kichwa chake! Na kama nilivyosema jana, ni pale bin-adam anapofikiri amesimama ndipo huanguka! puh! chali!
Ubunge, au cheo chochote ni dhamana tu na sio a right, kama kijana alivyokuwa ameanza kuamini kutokana na matendo yake, ninakumbuka alipokuwa anajaribu kujiweka sawa kugombea, ilibidi nimpatie card ya sherehe moja nzito ya kitaifa ili kumpa nafasi ya kukutana na kujitambulisha kwa the political heavyweights na kujiweka sawa kuweza kupitishwa kugombea ubunge na cc iliyofanyika kule Dodoma, ninakumbuka kesi yake ilipotajwa mara ya kwanza, tulifikiri kuwa anaonewa na tulikuwa tayari kumsaidia kwa hali na mali, binafsi I gave him a big hand mwanzoni bila ya kujua kuwa he would turn to be an arrogant individual and politician, akiamini kuwa he knows it all, kwa hiyo this ya kushindwa now ni a perfect Chritmas gift, na haikuwa bahati mbaya, nafikiri ni about a month ago, ndipo kijana alipogundua kuwa he is in big trouble na kwamba kesi inakuja kwa kasi mbaya sana, akajaribu kila njia behind the scene ku-reach out msaada, na hasa hakimu wa hiyo kesi, lakini the question kwa aliokuwa akiwaomba msaada ilikuwa if it was worhty kumsaidia? Wengi waliamua it was not! Na ninamuomnba asimlaumu mtu yoyote zaidi yake yeye mwenyewe!
Now let me say this, kwake mkuu Charles, najua alikuwa hajui vizuri kuwa CCM haipendi mbunge mwenye kesi, na hasa akiwa arrogant kama alivyokuwa recently, CCM cares for the number yao ya viti vingi bungeni, CCM walishafanya research kama kawaida na kujua kuwa hawezi kushinda hiyo kesi, na pia I have bad news kwake kuwa hata uchaguzi utakaporudiwa CCM hawatampa nafasi tena ya kugombea, labda abadilishe chama cha siasa, Hussein mikono yake sasa imejaa, anatafuta urais kwa hiyo hawezi tena kumsaida hasa baada ya u-arrogant alio uonyesha, kwa maneno mengine ni kwamba the brother is done no help!
CCM sasa wana kazi ya kugombea viti vitatu kwenye uchaguzi mdogo ujao, yaani majimbo ya Kiteto, Biharamulo, na hili sasa la Mwibara, sasa hii ni kazi ya Msekwa, Makamu mstaafu hayupo tena na kama alivyoahidi siku ya kustaafu kwake kuwa hana mpango wa kucheza siasa za remote control, na mimi binafsi ningemshauri kuwa baada ya miaka 15 ya umakamu na kukomboa a record ya viti vya ubunge 26, Why take a risk ya kuharibu his record now? Maana najua for a fact kuwa Biharamulo is out of reach, tena no way!
Kwake bwana Charles, I hope sasa utakuwa ni wakati muafaka wa kutafakari yaliyojiri na kujiweka sawa kwa the future, still young, na kwa sababu ni msomi pia wa uchumi tena aliyebobea basi kushindwa ubunge sio mwisho wa maisha, isipokuwa tu politically anayo a very big task kuweza ku-make a come back, kwa sababu sio rahisi kuyarudia madaraja alioyabomoa yeye mwenyewe na his arrogancy, on his way up! Kweli power corrupts!