sawa kabisa! kuna wakati tunaweza kuwa na wasiwasi na vyombo vyetu lakini mara nyingi nimekuwa nikiamini sana Mahakama Kuu na ya Rufaa katika mambo mengi kuliko mahakama nyingi za chini. Na upande mmoja ni kuwa wapo majaji na mahakimu ambao bado wanaangalia ushahidi na wanaofuata kokote utakakowapeleka.
Usimpe jaji credit kwa maamuzi yanayokufurahisha; kumbuka kuna pande mbili za kesi, siku zote anayeshinda hufurahi, siku akishindwa basi jaji anakuwa mla rushwa...jaji huyu huyu anaweza kutoa maamuzi mengine kesho ambayo kwa mujibu wa sheria ni sahihi ukamchukia vibaya; wapo watu kwa maamuzi haya wanataka hata kumnyonga
Hii habari ya lini? I am missing something....naomba mwongozo!