kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
TUNASUBIRI TAARIFA KUTOKA KWA KAMANDA MUROTO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia hapo kwenye picha yake na rangi ya nguo alizovaa halafu uje ujumlishe na hizi comments hapa utagundua kitu.!Tunakuomba Mungu wetu kazi zako hazina makosa, utende haki tupu kulingana na matendo yake
Mungu ni mkubwaHmm!, kuna jamaa alinambia lazima mwaka huu wabunge kadhaa watakufa sasa naona utabiri unakua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi-ccm uchaguzi ukishafika many more will die.Mbunge wa Newala vijijini, AJALI RASHIDI AKBAR amekutwa amefariki katika gesti ya Mingoyo - Mnazi Mmoja - Lindi, inaelezwa kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti hiyo mpaka sasa bado chanzo cha kifo chake hakijafahamika na mwili wake umepelekwa hospitali ya Sokoine kwa uchunguzi.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza kusikitishwa kwa taarifa za kifo cha Mbunge wa Newala Vijijini, Rashid Akbar, kilichotokea leo Januari 15, 2020 mkoani Lindi, na kueleza ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia watatoa taarifa ya mazishi ya Mbunge huyo.
Wakati akiwa hai akichangia mjadala Bungeni
View attachment 1324208
Lete clip tumuoneInnalillah waina illah rajiun.
Hivi ni nani aliwaita wapinzani Panzi kule Mtwara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepungua afadhali, mwenyekiti tum3 ya uchaguzi tunaomba utaratibu wa kampeni plz muda umebaki mchache sanaR.I.P
GOD is GOOD
Uchaguzi lini jamani, hatuwezi kuwaacha wananchi wa jimbo hilo la newala bila uwakilishi bungeni Mh Mwenyekiti Tume ya Uchaguzi tupe ratiba
Alazwe Anapostahiri
Vifo Kwenye Nyumba Za Wageni Vinaongezeka