Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua na matatizo ya afya, alishawahi kwenda hadi India... kama alikuwa na tatizo hususan la kiafya alipaswa kuambatana na mkewe Mkuu.
Newala siyo TandahimbaPumzika ulipo jiandalia, ni wakati wa Hamonize kuchukua nafasi hii.
Jamani ni hoteliMatukio ya wazee kufia guest yanaongozeka.. Isije ikawa ni matumizi ya dawa za kuboost.
Kwani mkuu ikiwa Guest yako huwezi kwenda kufanya mambo ya kilimo kwanza? Marehemu alikuwa baharia!
😅😅😅tuwaite wahusika wajibu hiliKaburi linatoa adhabu gani? Tuanzie hapo kwanza
😅😅😅tuwaite wahusika wajibu hili
CCM hata wakifa wote poa tu mbona!Mbunge wa Newala vijijini, AJALI RASHIDI AKBAR amekutwa amefariki katika gesti ya Mingoyo - Mnazi Mmoja - Lindi, inaelezwa kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti hiyo mpaka sasa bado chanzo cha kifo chake hakijafahamika na mwili wake umepelekwa hospitali ya Sokoine kwa uchunguzi.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza kusikitishwa kwa taarifa za kifo cha Mbunge wa Newala Vijijini, Rashid Akbar, kilichotokea leo Januari 15, 2020 mkoani Lindi, na kueleza ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia watatoa taarifa ya mazishi ya Mbunge huyo.
Wakati akiwa hai akichangia mjadala Bungeni
View attachment 1324208
Naunga mkono hoja!
RIP Mh. Ajali Rashid Akbar.
Mambo aliyoyafanya ktk uhai wake kama mbunge :
12 Jun 2019
Mbunge wa Newala vijijini Mh.Rashid Akbar atoa sifa hizi kwa Rais Magufuli na kuwatia mkwara wagombea pinzani katika jimbo lake. Ujenzi wa chuo na shule. Kuna shule za sekondari 20 jimboni hivyo mbunge ana visheni chuo cha VETA ili ufundi standi upatikane vijana wanaomaliza chuo wajiajiri. Vijiji vyote 142 jimboni lazima kupata umeme wa REA ili viwanda vidogo na kati vifunguliwe na vijana maana ni vijiji 30 tu ndiyo vimeunganishwa kupitia mradi wa REA Phase II.
Source : DarMpya TV
Harmonize jimbo hiloooooo!Pumzika ulipo jiandalia, ni wakati wa Hamonize kuchukua nafasi hii.
Kwani kila mbunge anagombea alipo zaliwa?