TANZIA Mbunge wa Newala Vijijini, Ajali Rashid akutwa amefariki katika Gesti ya Mingoyo

TANZIA Mbunge wa Newala Vijijini, Ajali Rashid akutwa amefariki katika Gesti ya Mingoyo

Ooh!Raha ya milele umpe Ee Bwana; Na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani; AMINA!
 
R.I.P
Chanzo hakija fahamika tutaelewana tu mbele ya safari ndugai amesikitishwa !
 
😅😅😅tuwaite wahusika wajibu hili
  • Mkuu adhabu ya kwanza ni kule kuwekewa kifusi muda mfupi baada ya mwili wako kushushwa kule mahali.
  • Mbili kaburi halina mbwembwe so hakuna AC wala nini hivyo ni joto mtindo mmoja,na uombe kufa kipindi ambacho hakuna mvua ili kuepuka kuzikwa kwenye tope.
  • Tatu ni ka hivi unaoza funza wanakufaudu unageuka mbolea mimea ilopandwa kwenye kaburi lako inakua mbuzi wanaila na maisha yanaendelea.
    • Ila mkuu kuna yale makaburi ya VIP design kama ya wale waliozikwa kisutu ama red cross upanga nadhani kule hakuna ubaharia wala uswahili na kwakuwa Mungu anapenda sehemu isiyo na uswahili basi siku ya kiama wale watanyakuliwa direct kwenda hukoooo kwenye baridi kali.
 
Mbunge wa Newala vijijini, AJALI RASHIDI AKBAR amekutwa amefariki katika gesti ya Mingoyo - Mnazi Mmoja - Lindi, inaelezwa kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti hiyo mpaka sasa bado chanzo cha kifo chake hakijafahamika na mwili wake umepelekwa hospitali ya Sokoine kwa uchunguzi.

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza kusikitishwa kwa taarifa za kifo cha Mbunge wa Newala Vijijini, Rashid Akbar, kilichotokea leo Januari 15, 2020 mkoani Lindi, na kueleza ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia watatoa taarifa ya mazishi ya Mbunge huyo.

Wakati akiwa hai akichangia mjadala Bungeni
View attachment 1324208
CCM hata wakifa wote poa tu mbona!
 
RIP Mh. Ajali Rashid Akbar.

Mambo aliyoyafanya ktk uhai wake kama mbunge :

12 Jun 2019
Mbunge wa Newala vijijini Mh.Rashid Akbar atoa sifa hizi kwa Rais Magufuli na kuwatia mkwara wagombea pinzani katika jimbo lake. Ujenzi wa chuo na shule. Kuna shule za sekondari 20 jimboni hivyo mbunge ana visheni chuo cha VETA ili ufundi standi upatikane vijana wanaomaliza chuo wajiajiri. Vijiji vyote 142 jimboni lazima kupata umeme wa REA ili viwanda vidogo na kati vifunguliwe na vijana maana ni vijiji 30 tu ndiyo vimeunganishwa kupitia mradi wa REA Phase II.


Source : DarMpya TV



Daaah!
Kumbe tayari alikuwa mgonjwa?
 
Back
Top Bottom