TANZIA Mbunge wa Newala Vijijini, Ajali Rashid akutwa amefariki katika Gesti ya Mingoyo

TANZIA Mbunge wa Newala Vijijini, Ajali Rashid akutwa amefariki katika Gesti ya Mingoyo

Kama ni cha kawaida tu sio mbaya ila kama alikua anapiga pushup kwa msaada was vumbi la Kongo itakua ni uzembe mkubwa sana.
 
Kabla ya kumpa shavu Harmonize ni vizuri kwanza ukajiulize kwanini walishindwa kuendelea na Keisha na ikabidi wamg'oe fasta kwenye kamati kuu ya CCM?...kutikisa kiuno na siasa ni vitu viwili tofauti!
Neno la mkubwa ni amri. Mkubwa alishasema Harmonize apewe ubunge. Wimbo mpya wa taifa haujausikia?
 
raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani
 
ccm inaokoteza tu , huyu kijana tunaambiwa hajui hata kusoma na kuandika ! lakini Magufuli anataka kumpa jimbo !
Hadi nyimbo zake huwa anaandikiwa na kusomewa, yeye hukariri anachokisikia then anaimba. Au siyo...?
Ila wewe utakuwa muongo na kama si muongo basi unamchukia konde boy.
 
Kwa changamoto za chama tawala kwenye haki,Mungu akamuhukumu sawa sawa na matendo yake hapa duniani!kilicho hakika ni kwamba Mungu haamui Kwa ubabe au nafasi ya Mwanadamu wa duniani.
 
Nimesoma comment nyingi sana humu, na bahati mbaya watu wanamuhusisha Harmonize na jimbo la Newala Vijijini sijajua kama ni kwa bahati mbaya au walisemalo linatoka moyoni.

Ukweli ni kwamba mbunge wa Newala Vijijini ambaye ni Marehemu alikuwa mbunge wa Newala Vijijini, na jimbo hili limetoka kwenye jimbo la Newala linalowakilishwa na Mh. Mkuchika (Waziri wa Utawala Bora) baada ya kupata vuguvugu la huyu jamaa wakaamua waongeze jimbo ( hii kama ilivyo kwa jimbo la Nanyamba (Chikotta) na Mtwara Vijijini (Ghasia) story zao zinafanana na watu wengi humu hawajui kwa nin Ghasia anakuwa Mbunge miaka yote ni story ndefu na watu wa chama chake wanaogopa kugombea nae kutokana na mambo flan flani hiv.
Suala la Harmonize, ni kuwa yeye ni mkazi wa Jimbo la Tandahimba kwa Mh. Khatani (Mbunge kupitia CUF) hivyo kwa upande wa Jimbo alilokuwa anaongoza Marehemu kuna watu wanaweza kutajwa ambao wengine walikuwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi wakati wa awamu ya 4, lakini pia wapo wakurugenzi/wakuu wa wilaya wa awamu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simpangii mtoa adhabu ila nasema tu hivyo just in case! Daah mkuu ujue kufia Madina Mecca hata kama hukuwa muumini mzuri basi wenye imani zao wanaamini umeenda kwa Mola, sasa najiuliza tu ukifia kibanda umiza..
Mkuu, hata kama wengine sio wa umini wa hiyo dini lakini AKILI ya kawaida kabisa hi IMANI (hapo kwenye Bold ) haiwezi kua ya kweli, so wakazi wa hiyo miji inakuaje? Kwamba wao wanakwenda kwa mola moja kwa moja tu kwasababu wamefia hapo kwenye miji ya kwao? Vinginevyo tukubaliane basi huyo mola atakua ana pendelea baadhi ya watu.
 
Back
Top Bottom